Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,215
- 7,381
IST
MajangaIle ngoma inachezea 6km/L mkuu.
Card inabaki vipi? Kile kibati cha ndani ya bonnet kwenye body?Yaani chuma kiko vzr mkuu,kwa reliability iko fresh kabisa ila kua makini wasikushikishe 1JZ-FSE/2JZ-FSE hizo zenye 'D4' maana kuna watu zimewashinda kuzitunza/kimeo wanawasukumia watu wengine kwa bei chee.
Kama ni 1J-GE/2JZ-GE hio fresh tu, ingawa kwa mazingira yetu ya kawaida hio 1JZ-GE cc 2500(ai 250) inatosha kabisa kwa safari/mambio/misele.
Na kua makini sa hivi wajomba wenye brevis cc 3000 hua wanatoa ile label kule nyuma(Ai 300) na kupachika (Ai 250) ili kumdanganya mnunuaji kwamba ni CC 2500.
Brevis wanazionea tu 😂😂, kula mafuta yanakula magari mengi tu, ila wanakomaa na mnyama ili kutisha wanunuzi ili yashuke bei 😅😅Kwahiyo consumption ya brevis ni kubwa kuliko mark x ina maana
Mfalme wa road eeh ?Brevis wanazionea tu 😂😂, kula mafuta yanakula magari mengi tu, ila wanakomaa na mnyama ili kutisha wanunuzi ili yashuke bei 😅😅
Mwanzo wa kijazi hadi mwisho wa kijazi huwa namaliza 180.. na pakiwa pazuri natembeaga na hiyo 180 hadi mataa ya kivulini..Hio TX si ni diesel engine mkuu 1KD bila shaka, kuipata 160kph kwa diesel ni shughuli pevu kidogo. Mchanganyo wake sio kama wa Petrol maana ukiipa pedeli ni ndani ya sekunde kadhaa tu unakuwa umegusa 100! Ukikomalia chini unafuta kisahani ndani ya dakika 3 tu.
Nimekomaa nalo mimi mwaka wa 6 huu, naona kawaida tu, hata sielewi watu huwa wanalalamika nini hasa, nadhani ni ‘mass hysteria’ tu, ni tatizo la kisaikolojia zaidi kuliko uhalisiaMfalme wa road eeh ?
Unamshauri anunue sare ya shule? Seriously?Tafuta Rav4 then kula Maisha
Unazungumziaje Crown na BrevisNimekomaa nalo mimi mwaka wa 6 huu, naona kawaida tu, hata sielewi watu huwa wanalalamika nini hasa, nadhani ni ‘mass hysteria’ tu, ni tatizo la kisaikolojia zaidi kuliko uhalisia
Crown sijawahi kuiendesha, ila, engine yake inaonekana kuwa na pulling zaidi mwanzoni , ila engine ya Brevis ina stamina kubwa zaidi ya kumaintain speed za juu, hivyo after a few seconds, ile crown ambayo ilitangulia kutokana na pulling yake kubwa huwa inapotezwa kirahisi sanaUnazungumziaje Crown na Brevis
Brevis wanazisifia sana wapiga route ndefuu.. nzuri ipi zaidi kati ya ai250 au ai300.. Crown inachanganya faster sana. Kwenye hapa na hapa rahisi kukuacha.. inamaliza 180 haraka, unabaki hauna kazi tenaCrown sijawahi kuiendesha, ila, engine yake inaonekana kuwa na pulling zaidi mwanzoni , ila engine ya Brevis ina stamina kubwa zaidi ya kumaintain speed za juu, hivyo after a few seconds, ile crown ambayo ilitangulia kutokana na pulling yake kubwa huwa inapotezwa kirahisi sana
Unamshauri anunue sare ya shule? Seriously?
Chukua ai250Brevis wanazisifia sana wapiga route ndefuu.. nzuri ipi zaidi kati ya ai250 au ai300.. Crown inachanganya faster sana. Kwenye hapa na hapa rahisi kukuacha.. inamaliza 180 haraka, unabaki hauna kazi tena
Na kwanini suo ai 300 ?Chukua ai250
Wapi huko?Vuta wakati huu wa janga Brevis zimeshuka mpaka 3.5m
Cc nyingiNa kwanini suo ai 300 ?
Ndugu, hiyo 3.5m ni bei ya engine used ya gari hiyohiyo, fikiria mara mbili 😂😂😂😂Wapi huko?
Na nguvu inakuwa kubwa na hata kuchanganya inakuwa chapCc nyingi