Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,787
- 8,623
watu subaru forester ilo baba yake ni bei gani?
Forester ipi?SG5,SG9,WRX,WRX STI,etcwatu subaru forester ilo baba yake ni bei gani?
SijaelewaKula Tangawiz kwa wingi
aya ya mwisho imenichekesha, hukufanya utafiri ni kwanini mnyama IST alikupita na hukumkamata?Matumizi ya gari na uhai wake inategemeana na geografia ya eneo unapolitumia. Brevis tulitoka nayo home Ile gari ni balaa mafuta ya Lita 10 inanusa Tu yamekata.. na services yake hata spare zake ni gari... Na brevis haitaki mahali penye tope, minemba na mchanga hapa utaichukia...
du mkuwa umeniacha achaa ipi ina bei kali apo kati ya izo mkuu naomba na picha natanguliza shukuranForester ipi?SG5,SG9,WRX,WRX STI,etc
Crown Majesta 4290cc vipKama uwezo wa kujaza wese ni uhakika komaa na brevis,sababu engine kubwa pia maana yake maisha marefu, hizi gari zenye engine ndogo maisha yake hua sio ya muda mrefu sana...
Mkuu kama uwezo wa wese upo vuta hio machine,kwny mambio/reliability hapo ni nyumbani.Crown Majesta 4290cc vip
Ukiitaja tu Toyota Brevis kila mtu atakwambia hill ni jini. Linakunywa mafuta mengi, vipuri vyake bei juu na havipatikani kwa urahisi. Atakushauri ununue IST au magari mengine madogo...
Mnyonya mafutaKabsaa japo sijawai tumia brevis lkn wadau wa humu wanasema brevis ni jini
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mnyama nitanunua kwa ajili ya ubishoo Mjini. Nothing elseCrown Majesta 4290cc vip
kam ni ubishoo tu chukua nissan maxima boss ila isiwape lift wake za watuHuyu Mnyama nitanunua kwa ajili ya ubishoo Mjini. Nothing else
Nissan hizo spea SI mchezokam ni ubishoo tu chukua nissan maxima boss ila isiwape lift wake za watu
unishoo gharamaNissan hizo spea SI mchezo
Sure. Nyangema on fleekunishoo gharama
Nimetumia 2.5 na 3.0 hakuna tofauti kubwa.Cresta niliyotumia mimi ni ya 2.0L na ambayo ndio engine common kwa cresta nyingi zikizoko bongo,ingawa pia cresta ana version zake nyingine zinazotumia engine the same na zilizoko huko kwny brevis za(2.5L&3.0L).
Brevis ziko za 2.5L(IJZ-GE/1JZ-FSE) na 3.0L(2JZ-GE/1JZ-FSE).
Hio Brevis ya 2.5l inakula wese juu kidogo ya Cresta ya 2.0L,hio brevis ya 3.0L kwny wese jiandae mzee vzr baba maana inakula kuliko zaidi boss.
MajangaIle ngoma inachezea 6km/L mkuu.
duh siamini kama hujui kuandika kiswahiliMatumizi ya gari na uhai wake inategemeana na geografia ya eneo unapolitumia...
Brevis tulitoka nayo home Ile gari ni balaa mafuta ya Lita 10 inanusa Tu yamekata.. na services yake hata spare zake ni gari... Na brevis haitaki mahali penye tope, minemba na mchanga hapa utaichukia...
Ila kwenye Rami na barabara nzuri, safari ndefu, nashindano, drift unawez ukasema Kweli Dunia tamu.. hata body yake ni ngumu na imara, mziki ukifunga gari kinu kinagonga hatari, Upande wa speed brevis inafyatuka kama lisasi inachanganya haraka Sana na hata ukiwa mwendo ina balance nzuri, tamu Sana...
Kwa upande wa IST Kwa Mtu unayependa gari na uwezo unao sio gari ya kutumia.. mikiki mizito haiwezi na sio gari ya luxury.
Ila hajabu kuna siku nilikuwa naelekea bagamoyo nimeshavuka bunju nikiwa na Toyota TX ya 2015 na nikiwa speend 100, nilipitwa na IST nikaanzisha ligi Ila Huwez amini mpk nafika 160km/h IST bado iko mbele yangu na sikufanikiwa kuipita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Rumion sema JENEZAMsaada kwa wanaifajamu Toyota Rumion nataka kununua ila nipo mkoani itafaa
Sent using Jamii Forums mobile app