Kati ya Toyota Brevis na IST ipi inaweza kuishi miaka mingi?

Matumizi ya gari na uhai wake inategemeana na geografia ya eneo unapolitumia. Brevis tulitoka nayo home Ile gari ni balaa mafuta ya Lita 10 inanusa Tu yamekata.. na services yake hata spare zake ni gari... Na brevis haitaki mahali penye tope, minemba na mchanga hapa utaichukia...
aya ya mwisho imenichekesha, hukufanya utafiri ni kwanini mnyama IST alikupita na hukumkamata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Starlet..
Ukiitaja tu Toyota Brevis kila mtu atakwambia hill ni jini. Linakunywa mafuta mengi, vipuri vyake bei juu na havipatikani kwa urahisi. Atakushauri ununue IST au magari mengine madogo...
 
Cresta niliyotumia mimi ni ya 2.0L na ambayo ndio engine common kwa cresta nyingi zikizoko bongo,ingawa pia cresta ana version zake nyingine zinazotumia engine the same na zilizoko huko kwny brevis za(2.5L&3.0L).

Brevis ziko za 2.5L(IJZ-GE/1JZ-FSE) na 3.0L(2JZ-GE/1JZ-FSE).

Hio Brevis ya 2.5l inakula wese juu kidogo ya Cresta ya 2.0L,hio brevis ya 3.0L kwny wese jiandae mzee vzr baba maana inakula kuliko zaidi boss.
Nimetumia 2.5 na 3.0 hakuna tofauti kubwa.
 
Matumizi ya gari na uhai wake inategemeana na geografia ya eneo unapolitumia...
Brevis tulitoka nayo home Ile gari ni balaa mafuta ya Lita 10 inanusa Tu yamekata.. na services yake hata spare zake ni gari... Na brevis haitaki mahali penye tope, minemba na mchanga hapa utaichukia...

Ila kwenye Rami na barabara nzuri, safari ndefu, nashindano, drift unawez ukasema Kweli Dunia tamu.. hata body yake ni ngumu na imara, mziki ukifunga gari kinu kinagonga hatari, Upande wa speed brevis inafyatuka kama lisasi inachanganya haraka Sana na hata ukiwa mwendo ina balance nzuri, tamu Sana...

Kwa upande wa IST Kwa Mtu unayependa gari na uwezo unao sio gari ya kutumia.. mikiki mizito haiwezi na sio gari ya luxury.

Ila hajabu kuna siku nilikuwa naelekea bagamoyo nimeshavuka bunju nikiwa na Toyota TX ya 2015 na nikiwa speend 100, nilipitwa na IST nikaanzisha ligi Ila Huwez amini mpk nafika 160km/h IST bado iko mbele yangu na sikufanikiwa kuipita.


Sent using Jamii Forums mobile app
duh siamini kama hujui kuandika kiswahili
 
Back
Top Bottom