Ukiitaja tu Toyota Brevis kila mtu atakwambia hill ni jini. Linakunywa mafuta mengi, vipuri vyake bei juu na havipatikani kwa urahisi. Atakushauri ununue IST au magari mengine madogo.
Sasa naomba msaada wenu ipi ni gari ina weza kudumu muda mrefu kama zote zitapata matunzo sawa?
Sasa naomba msaada wenu ipi ni gari ina weza kudumu muda mrefu kama zote zitapata matunzo sawa?