Kati ya Toyota Brevis na IST ipi inaweza kuishi miaka mingi?

eity 4

Senior Member
Dec 7, 2014
147
206
Ukiitaja tu Toyota Brevis kila mtu atakwambia hill ni jini. Linakunywa mafuta mengi, vipuri vyake bei juu na havipatikani kwa urahisi. Atakushauri ununue IST au magari mengine madogo.

Sasa naomba msaada wenu ipi ni gari ina weza kudumu muda mrefu kama zote zitapata matunzo sawa?

1588597653496.png

1588597702973.png
 
Kama uwezo wa kujaza wese ni uhakika komaa na brevis,sababu engine kubwa pia maana yake maisha marefu, hizi gari zenye engine ndogo maisha yake hua sio ya muda mrefu saana.

Nilinunua Cresta mwaka 2008(1G-FE beams,2.0L,6 clyinders),baadae madalali wakaanzisha story za jini mafuta sijui nini lkn ile gari ilikua ni the best na haikuwahi kua na magonjwa aisee, ingawa wese kila mwezi nilikua natumia 400,000 (mafoleni) nikiwa dar lkn nikiwa mikoani ilikua 250,000 kwa mwezi.

Isingekua kupiga nayo mzinga 2015 ile gari nisingeiuza maisha yote maana ilikua ni back up car ya uhakika,any time any where.Na wkt inakula mzinga ilikua inasoma Km 267,000 lkn haikuwahi kua na shida hata moja.

Kwa mtu anayetaka magari ya kudumu lkn akijua resell value yake itakua ni ndogo hayo magari yanayoitwa majini mafuta ndio muafaka kabisa.
 
Kama uwezo wa kujaza wese ni uhakika komaa na brevis,sababu engine kubwa pia maana yake maisha marefu,hizi gari zenye engine ndogo maisha yake hua sio ya muda mrefu saana...

Mkuu inaonekana gari yako ulikua unaipenda sana maana sio mara ya kwanza naona unaitaja na kuisifia sana.

Pole sana, fanya uvute nyingine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu inaonekana gari yako ulikua unaipenda sana maana sio mara ya kwanza naona unaitaja na kuisifia sana..
Pole sana, fanya uvute nyingine


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hahah kile chuma nilikua naki-abuse sana mkuu na hakikuwahi hata kuniangusha aisee,pamoja na kutumia mazda rx-8,bimmer 328ci,disco 2 na mpk sasa nimerudi tena kwny toyota lkn kile chombo kilikua kinasitiri sana mkuu.

Uzuri siku hizi mikononi kwa watu yanauzwa bei rahisi saana nataka by mwezi wa 9 ambapo ntakua na safari za mara kwa mara za kwenda mikoani ntamvua mtu chap nianze kulisafiria.
 
Kama uwezo wa kujaza wese ni uhakika komaa na brevis,sababu engine kubwa pia maana yake maisha marefu, hizi gari zenye engine ndogo maisha yake hua sio ya muda mrefu saana.

Kwa mtu anayetaka magari ya kudumu lkn akijua resell value yake itakua ni ndogo hayo magari yanayoitwa majini mafuta ndio muafaka kabisa...
Kwenye maisha Yangu hata iweje sitaweza kununua IST,vitz na passo. Sisi wabongo ni watu wa kukariri Sana unakuta mtu ananunua Passo eti Kwa ajili ya kubana matumizi bila kujua engine yenye cc ndogo ni majanga na huwa haiwezi kuvumilia Safar ndefu.
 
Hahah kile chuma nilikua naki-abuse sana mkuu na hakikuwahi hata kuniangusha aisee,pamoja na kutumia mazda rx-8,bimmer 328ci,disco 2 na mpk sasa nimerudi tena kwny toyota lkn kile chombo kilikua kinasitiri sana mkuu.

Uzuri siku hizi mikononi kwa watu yanauzwa bei rahisi saana nataka by mwezi wa 9 ambapo ntakua na safari za mara kwa mara za kwenda mikoani ntamvua mtu chap nianze kulisafiria.
Ulaji wa gx 100 na brevis unaweza kuwa upo sawa?
 
Matumizi ya gari na uhai wake inategemeana na geografia ya eneo unapolitumia...
Brevis tulitoka nayo home Ile gari ni balaa mafuta ya Lita 10 inanusa Tu yamekata.. na services yake hata spare zake ni gari... Na brevis haitaki mahali penye tope, minemba na mchanga hapa utaichukia...

Ila kwenye Rami na barabara nzuri, safari ndefu, nashindano, drift unawez ukasema Kweli Dunia tamu.. hata body yake ni ngumu na imara, mziki ukifunga gari kinu kinagonga hatari, Upande wa speed brevis inafyatuka kama lisasi inachanganya haraka Sana na hata ukiwa mwendo ina balance nzuri, tamu Sana...

Kwa upande wa IST Kwa Mtu unayependa gari na uwezo unao sio gari ya kutumia.. mikiki mizito haiwezi na sio gari ya luxury.

Ila hajabu kuna siku nilikuwa naelekea bagamoyo nimeshavuka bunju nikiwa na Toyota TX ya 2015 na nikiwa speend 100, nilipitwa na IST nikaanzisha ligi Ila Huwez amini mpk nafika 160km/h IST bado iko mbele yangu na sikufanikiwa kuipita.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matumizi ya gari na uhai wake inategemeana na geografia ya eneo unapolitumia...
Brevis tulitoka nayo home Ile gari ni balaa mafuta ya Lita 10 inanusa Tu yamekata.. na services yake hata spare zake ni gari...
Ikiwa na maana kwamba, ist inachanganya upesi.?!
 
Ulaji wa gx 100 na brevis unaweza kuwa upo sawa?
Cresta niliyotumia mimi ni ya 2.0L na ambayo ndio engine common kwa cresta nyingi zikizoko bongo,ingawa pia cresta ana version zake nyingine zinazotumia engine the same na zilizoko huko kwny brevis za(2.5L&3.0L).

Brevis ziko za 2.5L(IJZ-GE/1JZ-FSE) na 3.0L(2JZ-GE/1JZ-FSE).

Hio Brevis ya 2.5l inakula wese juu kidogo ya Cresta ya 2.0L,hio brevis ya 3.0L kwny wese jiandae mzee vzr baba maana inakula kuliko zaidi boss.
 
Back
Top Bottom