Mzee slaa kwasasa anamiaka 79 akiwa rais hataweza kumudu kazi zake hata kampeni hawezi kumudu kwanza uadilifu wake ni mbovu kweli hana sifa za kuwa kiongozi wa kitaifa kama rais wa twiga star hapo sawa.
Babu ni mzee sana mikikimikiki ya kampeni hawezi tena mtamuua kama mtabiri alivyo tabiri mkono mmoja haufanyi kazi mwacheni alee mjukuu wake.
hivi Wasira na DK Slaa nini mzee? hebu waangalie hata sura zao!
Afadhari kidogo Wasira mwili wake uko ki mazoezi sasa huyu babu viungo vinaanza kufa kimoja kimoja tutampoteza ktk kampeni na mjukuu wakw atabaki yatima, mwacheni alee familia yake, Lipumba na Mbowe si wapo?
hapana! macho yako hana ushirikiano! Wassira hataukimwangari kapinda. ulimuona alipoenda kukukagua maendeleo ya chama kigoma? mwenye picha hizo atupie hapa iliuone. slaa bado ananguvu.