Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Mkuu, kweli umechambua mambo. Barikiwa.
Tueleze facts bila bias viongozo hawa ndio wanaopigiwa chapuo kugombea kupitia UKAWA. Kwa kuzingatia sifa na weledi andika jina na sifa za mmoja unaemuona anafaa zaidi.
Babu ni mzee sana mikikimikiki ya kampeni hawezi tena mtamuua kama mtabiri alivyo tabiri mkono mmoja haufanyi kazi mwacheni alee mjukuu wake.[/QUOTE
walaumu ccm kwa kukunyima elimu mpaka ukashindwa kujitambua na wao wanafurahia kukutawala mpaka leo
Babu ni mzee sana mikikimikiki ya kampeni hawezi tena mtamuua kama mtabiri alivyo tabiri mkono mmoja haufanyi kazi mwacheni alee mjukuu wake.[/QUOTE
walaumu ccm kwa kukunyima elimu mpaka ukashindwa kujitambua na wao wanafurahia kukutawala mpaka leo
Mkuu sijaelewa ulichoandika hapa.
Mkuu sijaelewa ulichoandika hapa.
nani hajui kwamba nyiny mnaoshabikia ccm ni vichwa maji. hujaelewa nin sasa hapo mana yake unatumika kama k.ndom nimekusaidia kukufafanulia
Mimi naamini, mtu akishindwa kuongoza familia yake, hawezi kuongoza Nchi.
Uongozi huanzia kwenye familia.
papa anaongoza wakatoliki bilioni2 lakini hana familia
Babu ni mzee sana mikikimikiki ya kampeni hawezi tena mtamuua kama mtabiri alivyo tabiri mkono mmoja haufanyi kazi mwacheni alee mjukuu wake.
kuna tofauti kubwa kati ya kuwa na familia na kushindwa kuimanage na kutokuwa na familia kabisa.
nani hajui kwamba nyiny mnaoshabikia ccm ni vichwa maji. hujaelewa nin sasa hapo mana yake unatumika kama k.ndom nimekusaidia kukufafanulia
Kwani wewe ni mfuasi wa huyu mzee???
slaa kiboko ya ccm.dr.rais lipumba mkamu was rais mbatia waziri mkuu hiyo ndo serikali ijay
o