Kati ya Onana na Max nani bora?

Kura zinatosha
 

Attachments

  • Screenshot_20231028-134353_Chrome.jpg
    Screenshot_20231028-134353_Chrome.jpg
    57.1 KB · Views: 2
We Famba hujui kuandika
Una akili ndogo sana mdogo wangu. Umeshindwa kugundua herufi s na d zinafuatana kwenye keyboard yangu ya simu! Hiyo ni kawaida kabisa kutokea kwa typing error!!!

Ila nakupongeza sana!
Kwanza kwa kunifuatilia mzee wako, na pia kwa kuacha ule uandishi wako wa chekechea; wa kuchanganya herufi kubwa na ndogo.
 
Onana ataondoka na kiatu msimu huu ndo kawaida yake huanza taratibu ila likiwaka anakuwa wa moto kwa mujibu wa simu ambayo etoo amewapigia simba hiv karibuni
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom