NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,199
- 12,715
Baada ya okrah Magic kuonesha kiwango Bora Katika mchezo wa Yanga vs Polisi kombe la shirikisho, Kuna wachambuzi wameibuka na kuanza kumuombea namba Okrah mbele ya Max Nzengeli.
Hizi ndiyo tofauti kubwa Kati ya Max Nzengeli na Okra Magic.
(1) Max Nzengeli anacheza nafasi zaidi ya tatu anapokua uwanjani.
Anacheza namba 8,6,11,7 na 10 hii ni tofauti kabisa na Okra Magic ambaye anacheza winga ya kushoto na kulia tu Ina maana anacheza namba 7,11 ni mzuri zaidi winga ya kushoto.
(2) Max Nzengeli anauwezo mkubwa wa kukaba tofauti na Okra Magic timu inapokua haina mpira max huwa anarudi pande zote za uwanja kutafuta mpira na kukaba wakati Okra mpira ukipotea siyo miabaji Kama Max.
Kosa kosa za magoli kwa Max Nzengeli asishushwe ubora wake awapo uwanjani
Maoni Yangu: Max Nzengeli ni Bora kuliko okra the Magic.
Hizi ndiyo tofauti kubwa Kati ya Max Nzengeli na Okra Magic.
(1) Max Nzengeli anacheza nafasi zaidi ya tatu anapokua uwanjani.
Anacheza namba 8,6,11,7 na 10 hii ni tofauti kabisa na Okra Magic ambaye anacheza winga ya kushoto na kulia tu Ina maana anacheza namba 7,11 ni mzuri zaidi winga ya kushoto.
(2) Max Nzengeli anauwezo mkubwa wa kukaba tofauti na Okra Magic timu inapokua haina mpira max huwa anarudi pande zote za uwanja kutafuta mpira na kukaba wakati Okra mpira ukipotea siyo miabaji Kama Max.
Kosa kosa za magoli kwa Max Nzengeli asishushwe ubora wake awapo uwanjani
Maoni Yangu: Max Nzengeli ni Bora kuliko okra the Magic.