Kati ya NIT na MUST niende wapi?

Kati ya NIT na MUST niende wapi?

Luca Paguro

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2023
Posts
476
Reaction score
1,060
Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree

Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
 
Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree

Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
Choose chuo that is more practical-oriented than theoretical-oriented!

mfano, VETA wako more practical ie VITENDO kuliko maneno!
 
Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree

Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
Chuo Bora Cha nyakati zote ni ATC,ila
Kwakua chaguo lako n mechanical na ATC wamekupa fani usiyoipenda,hayo ni maisha yako,fanya ukipendacho ata km kipo kwenye moto. nenda MUST,NIT sikushauri Kwa mechanical engineering.
 
Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree

Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
Nakushauri uende Must mimi nina marafiki zangu mmoja alisomaga Nit mwingine akasoma Must ila wa Must walionekana kule wako serious kidog kuliko wa Nit
 
Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree

Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
DIT wamekupiga chini. Vijana hamsomi kwa bidii, matokeo yenu ya kuchechemea.
 
DIT wamekupiga chini. Vijana hamsomi kwa bidii, matokeo yenu ya kuchechemea.
Mimi kusoma Advance nilikuwa sitaki, tulibishana sana na wazazi ila mwisho wakashinda wao. Na ni kweli Advance nilikuwa sisomi kihivyo nilikuwa nasubiri tu nimalize. Ila chuo hamna aliyenilazimisha, hii kozi sasahivi naenda kuisoma mwenyewe. Nilikuwa nataka kwenda Diploma ya Mechanical tangu nilivyomaliza form 4 ila wazazi wakanikatalia
Sasa hujui jinsi gani nilivyofurahi kuipata sasahivi
 
Back
Top Bottom