Kati ya NIT na MUST niende wapi?

Kati ya NIT na MUST niende wapi?

Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree

Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
NIT mechanical imeanza juzi juzi, MUST mechanical ipo tokea enzi hizo.

Ningeshauri uchague MUST maana MUST wana uzoefu kuliko NIT kwenye mechanical. Nenda MUST kasome hiyo mechanical.
 
NIT mechanical imeanza juzi juzi, MUST mechanical ipo tokea enzi hizo.

Ningeshauri uchague MUST maana MUST wana uzoefu kuliko NIT kwenye mechanical. Nenda MUST kasome hiyo mechanical
Kozi kuanza zamani haimanishi ubora wa elimu , Bado mapendekezo yangu aende ATC. MUST ni wanafunzi ni wengi , mwaka 2021 nilipoomba bachelor Mechanical MUST tulichaguliwa 500+ nilicancel na kuchangua ATC ambayo 30 tu. Najua class ikiwa na wanafunzi wengi hata lecturer hana focus zaidi na wanafunzi hasa kwenye vitendo. Mutameza notes na kufaulu mtihani tu. Tofauti na ATC wanafunzi wachache na facilities za Vitendo ni nyingi . Anyway kama anataka title kwamba kasoma university aende MUST lakini kama anataka elimu bora na ujuzi aende ATC.
 
Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree

Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ah
Ningekuwa nakushauri, ningekuambia nenda ATC
 
Ukitokea advance unasoma miaka 4 , diploma ndio 3. Usiangalia Leo Yako dili zaidi na future Yako, huoni Technology sinavyobadilika ?
Tanzania Kuna engineer wengi wakenya na wahindi kwenye industries wanakula maisha sababu ya sisi wenyeji hatuendani na wakati.

Kwa sasa any machine ina mifumo ya electronics sio mechanical pekeyake na Engineer anahitaji kua na uelewa wa pande zote mbili, na muajiri hupendelea kuajiri mtu multipurpose.
Soko la ajira Mechatronics lipo vzr na linakua, waajiri wengi wanaelewa umuhimu wake.
Why mechatronics from ATC ni best option for you future ?
Ina cover Mechanical + electronics.
Best mentor from ATC , In ATC , utasomeshwa na Prof na doctors kutoka nchini na wageni (south Korea) , utapata exposure nzuri juu ya Mechatronics, ndani yake utajua Robotics na AI.
Every semester Kuna midterm project, hii inasaidia kukupima uwezo wako wa vitendo katika somo husika.
Pia wingi wa vifaa vya kusoma kivitendo, Utafanya practical na design katika field mbalimbali ikiwemo CAM / CAD , 3D printing Technology, Electropneumatic and Electrohydraulic, Industrial Automation , PLC programming , CNC , Material Testing , Circuit design , Embedded systems. Na hizo practical vyuo vingi tz hakuna.
Ukiwa makini utamaliza na ujuzi unaofanana na mazingira halisi ya kazi. Tofauti na graduate wa vyuo vingi tz . Maamuzi ni Yako , focus on present / future Yako.

Multipurpose, kazi zote kutoka utumishi na Private sector zinazohusu Mechanical, Mechatronics, Automation , Instrumentation , Material engineering unauwezo wa kuomba na ukapata.
Fanya maamuzi mazuri , Skills make the difference.

From ATC Mechatronics Engineering Alumni.
Umemaliza kabisa mkuu
 
Kozi kuanza zamani haimanishi ubora wa elimu , Bado mapendekezo yangua aende ATC. MUST ni wanafunzi ni wengi , mwaka 2021 nilipoomba bachelor Mechanical MUST tulichaguliwa 500+ nilicancel na kuchangua ATC ambayo 30 tu. Najua class ikiwa na wanafunzi wengi hata lecturer hana focus zaidi na wanafunzi hasa kwenye vitendo. Mutameza notes na kufaulu mtihani tu. Tofauti na ATC wanafunzi wachache na facilities za Vitendo ni nyingi . Anyway kama anataka title kwamba kasoma university aende MUST lakini kama anataka elimu bora na ujuzi aende ATC.
"Anyway kama anataka title kwamba kasoma university aende MUST lakini kama anataka elimu bora na ujuzi aende ATC."
 
Kozi kuanza zamani haimanishi ubora wa elimu , Bado mapendekezo yangu aende ATC. MUST ni wanafunzi ni wengi , mwaka 2021 nilipoomba bachelor Mechanical MUST tulichaguliwa 500+ nilicancel na kuchangua ATC ambayo 30 tu. Najua class ikiwa na wanafunzi wengi hata lecturer hana focus zaidi na wanafunzi hasa kwenye vitendo. Mutameza notes na kufaulu mtihani tu. Tofauti na ATC wanafunzi wachache na facilities za Vitendo ni nyingi . Anyway kama anataka title kwamba kasoma university aende MUST lakini kama anataka elimu bora na ujuzi aende ATC.
Mkuu mbona mleta mada hajataja mechanical ya ATC, wewe hiyo ATC umeitoa wapi?
 
Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree

Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC
ATC nimekosa Mechanical wamenichagua Mechatronics. Sasa hii siitaki
Lakini NIT na MUST nimepata Mechanical ambayo naitaka. DIT nimekosa kabisa nafasi.
Naomba ushauri sasa, hapo inabidi niamue kati ya NIT au MUST kwa hiyo kozi.
Je, mnanishauri niende kusoma chuo kipi? Kipi hapo kiko vizuri kwenye kutoa elimu ya Mechanical kwa sababu nataka niwe vizuri, nina mpango wa kutumia hii knowledge ya Mechanical kwenye maisha yangu baadae hata kama nikikosa ajira
So naomba mnisaidie chuo kipi kipo competetive kwenye kutoa elimu kati ya hivyo viwili
Ahsante
Nenda kasome mechanical ya MUST usijichanganye na mechatronics kwenye hii tz ya viwanda
 
Kozi kuanza zamani haimanishi ubora wa elimu , Bado mapendekezo yangu aende ATC. MUST ni wanafunzi ni wengi , mwaka 2021 nilipoomba bachelor Mechanical MUST tulichaguliwa 500+ nilicancel na kuchangua ATC ambayo 30 tu. Najua class ikiwa na wanafunzi wengi hata lecturer hana focus zaidi na wanafunzi hasa kwenye vitendo. Mutameza notes na kufaulu mtihani tu. Tofauti na ATC wanafunzi wachache na facilities za Vitendo ni nyingi . Anyway kama anataka title kwamba kasoma university aende MUST lakini kama anataka elimu bora na ujuzi aende ATC.
Mkuu inakuwaje nyinyi kwenye Mechanical mlichaguliwa wanafunzi 500+ wakati TCU inaonesha kuna nafasi 80 tu za Mechanical Engineering MUST
Screenshot_2025-09-05-16-48-09-249_com.intsig.camscanner-edit.jpg
 
Nenda NIT. Kwa sasa NIT wanafundisha hadi urubani wa ndege na ndege za kufundishia wanazo
Hata hivyo, ushauri wangu haumaanishi kuwa unaenda kusomea urubani
Bora umemaliza vyema NIT niwazuri kwenye lengo lao yaani usafirishaji hayo mengine ni kutafuta ada za watu tu.
 
Ingia kwenye website ya chuo ulichoapply
Mfano labda unataka kuingalia labda MUST tuseme, unafanya hivi
1. Ingia Google search MUST Online Admission. Then fungua results zinazokuja hapo, utafika kwenye hii pageView attachment 3464625

2. Hapo unaingiza username na password yako. Username ni namba yako ya mtihani wa taifa ya form 4. Inakaa kwenye mfumo kama huu S2676/0113/2022 na password unaingiza password uliyotumia kuapply chuo

3. Ukiingiza tu password na username kwa usahihi basi itafunguka kwenye dashboard utaona ujumbe kama umechaguliwa au la
Hapo utaona option ya ku confirm. Unaconfirm chuo kimoja tu unachokipenda, kama umechaguliwa vyuo vingi
View attachment 3464630

Kwa hiyo we nenda tu kwenye chuo unachotaka kuangalia kama umekuwa selected, Kama ni DIT, search DIT Online Admission, kama ni UDSM basi search UDSM Online Admission, kila chuo unaandika jina lake mwisho unamalizia na Online Admission. Hivyo ndio unavyoangalia majibu
Kama chuo kikikutema watakuonesha ujumbe unaofanana na hivi. Kila chuo kina namna yake ya kukupa taarifa. Mimi DIT wamenitema na ujumbe wameuweka hivi 👇👇View attachment 3464632
DIT wamenifurahisha sana, hizi jumbe nimezizoea kwenye maombi ya kazi, nikipokea email nikaona inaanza na neno Thank you for your interest au Unfortunately........ huwa sijisumbuagi kufungua email, moja kwa moja najua nishapigwa tayari
 
Ingia kwenye website ya chuo ulichoapply
Mfano labda unataka kuingalia labda MUST tuseme, unafanya hivi
1. Ingia Google search MUST Online Admission. Then fungua results zinazokuja hapo, utafika kwenye hii pageView attachment 3464625

2. Hapo unaingiza username na password yako. Username ni namba yako ya mtihani wa taifa ya form 4. Inakaa kwenye mfumo kama huu S2676/0113/2022 na password unaingiza password uliyotumia kuapply chuo

3. Ukiingiza tu password na username kwa usahihi basi itafunguka kwenye dashboard utaona ujumbe kama umechaguliwa au la
Hapo utaona option ya ku confirm. Unaconfirm chuo kimoja tu unachokipenda, kama umechaguliwa vyuo vingi
View attachment 3464630

Kwa hiyo we nenda tu kwenye chuo unachotaka kuangalia kama umekuwa selected, Kama ni DIT, search DIT Online Admission, kama ni UDSM basi search UDSM Online Admission, kila chuo unaandika jina lake mwisho unamalizia na Online Admission. Hivyo ndio unavyoangalia majibu
Kama chuo kikikutema watakuonesha ujumbe unaofanana na hivi. Kila chuo kina namna yake ya kukupa taarifa. Mimi DIT wamenitema na ujumbe wameuweka hivi 👇👇View attachment 3464632
Msigazi Mkulu mbona unacheka mkuu. Hadi nimejisikia vibaya 🥲
 
DIT wamenifurahisha sana, hizi jumbe nimezizoea kwenye maombi ya kazi, nikipokea email nikaona inaanza na neno Thank you for your interest au Unfortunately........ huwa sijisumbuagi kufungua email, moja kwa moja najua nishapigwa tayari
Kumbe ndio maana umefurahi. Sasa nimeelewa😂😂😂
Huo ujumbe ulifanya nijisikie vibaya sana maana nilikuwa nataka nisome Dsm maana toka primary nasoma mkoani. So Dsm chuo ninachokielewa ndio kilikuwa hicho tu na nimekosa. Inabidi nirudi tu Mbeya 😅
 
Kozi kuanza zamani haimanishi ubora wa elimu , Bado mapendekezo yangu aende ATC. MUST ni wanafunzi ni wengi , mwaka 2021 nilipoomba bachelor Mechanical MUST tulichaguliwa 500+ nilicancel na kuchangua ATC ambayo 30 tu. Najua class ikiwa na wanafunzi wengi hata lecturer hana focus zaidi na wanafunzi hasa kwenye vitendo. Mutameza notes na kufaulu mtihani tu. Tofauti na ATC wanafunzi wachache na facilities za Vitendo ni nyingi . Anyway kama anataka title kwamba kasoma university aende MUST lakini kama anataka elimu bora na ujuzi aende ATC.
atc ada yao ni ngapi mkuu?
 
Zingatia na ubora wa elimu inayotolewa pamoja na mabadiliko ya Technology , Mechanical vs Mechatronics.
Mitaala mingi ya Mechanical Tanzania ni ya zamani tofauti na kozi mpya ya Mechatronics inayolingana na Technology ya Robotics. Pia zingatia soko la ajira Tanzania . Ukiangalia ERB , Kuna graduate engineer 27 tu waliosajiliwa in Mechatronics Engineering mpaka sasa lakini upande wa Mechanical wapo 2000+
Ushauri mzuri.
Ufafanuzi mzuri.
 
Kuna selection ya diploma holder na Advance level holder, niliona majina ya waliokuwa selected in 2021 , watu 500+
Yeah sahihi nimeona sasahivi hata sisi Mechanical tupo 350.
Lakini mkuu vyuo vyote vikubwa si huwa na wanafunzi wengi na bado wanafaulu vizuri tu
 
Back
Top Bottom