Kati ya NIT na MUST niende wapi?

Kati ya NIT na MUST niende wapi?

MUST & NIT wanatoa Bachelor of Science (Bsc) lakini ATC wanatoa Bachelor of engineering (BEng)..
Nini tofauti kati ya hizo ?
Bsc imeegemea zaidi katika theoretical lkn Beng imeegemea zaidi na Practical .

Katika vyuo hivo ulivotaja , graduate wa ATC wanakua competent zaidi na wanafanya vizuri katika soko la ajira kutokana na uelewa wa practical.
Sio kweli, MUST wanatoa Bachelor of Mechanical Engineering, ambayo hii ni pure Bachelor of Engineering, sio Bachelor of Science kama unavyosema
 
Kuna selection ya diploma holder na Advance level holder, niliona majina ya waliokuwa selected in 2021 , watu 500+
Huwa wanachaguliwa wanafunzi hata 300 lakini wanaoenda kusoma actually wana range around 150
Wengine hawaendi chuo au wanaconfirm vyuo vingine
 
Back
Top Bottom