Jamaa mmoja aliandoka jioni moja na kwenda ufukweni baada ya kufika ufukweni katulia akaja mzungu mmoja akamkuta katulia,mzungu kamuuliza jamaa are u rest?,jamaa kajibu no..mzungu kaondoka akaja mzungu mwingine akamkuta jamaa yupo pale yule mzungu akamwambia are u rest?,jamaa kajibu no.dah! Jamaa kaona ii sasa kali na yeye kaamua kutembea tembea pale ufukweni katika tembea tembea kamkuta mzungu amekaa sehemu uyu jamaa nae kamuuliza muzungu are u rest?.mzungu kamjibu Yes.dah yule jamaa kampiga kibao yule mzungu akamwambia we ndo rest wenzeko wanakutafuta kule wameshanisumbua sana.