Kati ya mme na mke nani muongo?

NDAMANDOO

JF-Expert Member
May 10, 2012
253
124
Habari wanaJV!

552392_312031332225521_1291632338_n.jpg

Naleta kwenu!
 
Nafikiri mke ndio funga kazi hamuogopi hata mungu anasema hadharani kuwa anaenda kanisani wakati anaenda kutengua amri ya sita akhaaaaaa haoni hata aibu????????????????
 
Hakuna, si unaona huyo alie chukuliwa kachukuliwa kweli
na huyo anae enda kanisani anaonekana yuko njiani kweli.
Wanafaana, they deserve each other.
 
kati ya mme na mke kutokana na hiyo picha naona Mume ndio anafaidi zaidi kuliko mke...:happy:
 
Kwa ndoa kama hizi TACAIDS kazi mnayo. Maturubai yanaweza kufungwa muda wowote hapa duuhhh.

tunda la rohoooooo! tatizo na hao TCAIDS na wenyewe ni kama hawa wanandoa wawili. wanatoa mafundisho kisha wanapitia mlango wa nyuma kula raha!
 
does it really matter? hakuna 'degree/kipimo' cha uongo na hakuna zaidi ya mwingine. mf 'kama mume angesema kazidiwa na kazi au mke kasema kaitwa na mwalimu wa mwanao shule kujadili maendeleo ya mtoto' ingekuwa ni bora kuliko uongo uliotumika kwenye hiyo pic??
 
tunda la rohoooooo! tatizo na hao TCAIDS na wenyewe ni kama hawa wanandoa wawili. wanatoa mafundisho kisha wanapitia mlango wa nyuma kula raha!
Aisee hiyo ni kweli kuna mshikaji maeneo ya Kawe ni mtumishi wa TACAIDS anatumia pesa zake vibaya kwa kudili na mabaamedi wapya wanaoanza kazi maeneo hayo na wake za watu.
Yeye anakaa Tegeta lakini kwa kuwa ahafahamika mtaani kwao kwamba tayari naye ameumia, basi hupendelea viwanja vya Maeneo haya kwa kuwa wahudumu wakifunga baa usiku huwapa lifti kwenye gari lake na kwenda nao kula raha.
Kwa kweli kwa mtaji huu hakuna mtetezi ila ni mtu binafsi.
 
Hakuna, si unaona huyo alie chukuliwa kachukuliwa kweli
na huyo anae enda kanisani anaonekana yuko njiani kweli.
Wanafaana, they deserve each other.
Nakubaliana nawe kwa kiasi fulani lakini huoni kaasilimia ka uongo kwa mama?. Nikimwangalia kweli anaenda anakokuita kanisani lakini hayuko na dada yuko na kaka. Lakini na huyu polisi ni mkali wa kazi.
attachment.php

 
Ngoja waende wakagongane huko "kituo cha polisi/Kanisani" ndo watajua nani muongo zaidi!
 
a relationship between two people is hard enough..why add another person??
 
Back
Top Bottom