Kati ya Mlimani City na Kariakoo, ni wapi nikanunue simu?

Kati ya Mlimani City na Kariakoo, ni wapi nikanunue simu?

Hivi hiyo Redmi 10C GCAM unaikuta kama option mojawapo ya camera [emoji991] au inakuhitaji udownload??
Na ukitumia GCAM kuna nini cha ziada unakipata ambacho hakipo kwenye kamera ya kawaida [emoji1745][emoji1745]
Gcam unadownload mkuu, na kampuni za Kichina software zao sio nzuri hivyo Gcam unapata software nzuri kutake Advantage ya hardware yako, hivyo overall vitu kama Portrait, HDR, Color accuracy na mambo kibao yana improve,
 
Gcam unadownload mkuu, na kampuni za Kichina software zao sio nzuri hivyo Gcam unapata software nzuri kutake Advantage ya hardware yako, hivyo overall vitu kama Portrait, HDR, Color accuracy na mambo kibao yana improve,
Hiyo Gcam play store inafananaje picha tafadhali nisije pakua kitu kizito
 
Hizo brand ulizotaja hapo kupata simu nzuri kwa 400k sahau fanya mlinganyo wa Redmi 10C ni infinix Note 12 itakayo kua juu kuliko mwenzie ndio ukanunue
 
Hiyo Gcam play store inafananaje picha tafadhali nisije pakua kitu kizito
Search humuhumu JF kuna thread title yake ni "Google camera: Kamera bora zaidi kwa simu yako" ukiingia mule soma ile thread, jamaa ameweka hadi link ya kudownload hiyo GCAM
PLAY STORE hakuna Google camera original utapata feki tu.
 
Hiyo Gcam play store inafananaje picha tafadhali nisije pakua kitu kizito
Hakuna Gcam playstore mkuu, hii ni program ya simu za Google pixel watu wanaitoa na kuweka kwenye simu nyengine, hivyo sio kitu official, most of time inapatikana kwa simu za Snapdragon na Exynos tu.


Hio link utapata version karibia zote, kujua version gani simu yako inasupport google.
 
Wakuu,

Nafikiri kwenda kununua simu, bajeti yake iko around 300k to 400k.

Hapa najiuliza wapi nikanunue, Kariakoo au Mlimani City?

Vitu vya kuangalia;
• Simu na bei
• Usalama wa simu
• Kupigwa cha juu kwa simu ya kawaida

Simu ipi itafaa zaidi kwa bajeti hiyo kutoka Samsung, Google Pixel and Oppo?

Nawasilisha
Hiyo pesa unapata Cover la simu pale Mlimani City.
 
Aende kwa infinix, akishindwa aende samsung a03 au atafute refurb zozote mfano samsung s8, j7 pro n.k ni nzuri kuliko takataka zozote za infinix na tecno.

Majiran baba,ndugu na jamaa[emoji28][emoji28]

Umezungukwa na infinix kila sehem,huwezi jua vingine[emoji28][emoji28]
 
Upo kama mimi, tecno, infinix, vivo na ndugu zao huwa hazikai mkononi mwangu wala mfukoni. Sometimes hata xiaomi naona ni walewale tu.
Sasa kweli unashauri anunue Samsung A03 halafu unaponda Xiaomi[emoji38][emoji38] Angalia hapo anapata Xiaomi Redmi 10C ambayo inatumia chipset ya Qualcomm snapdragon 680 Tena bei ni laki tatu na nusu tu. Hiyo chipset unaipata kwenye Samsung za laki tano lakini Xiaomi kaiweka kwenye simu ya laki tatu. Redmi 10C inatumia chaja ya USB Type C na faster storage type ya UFS 2.2 na kamera yake ni nzuri na bado unaweza kupata GCAM. Kwenye gaming iko smooth kuliko hizo Samsung A series za laki tano. Redmi 10C Ina AnTuTu score zaidi ya 240000 points
Sasa wewe unashauri anunue Samsung A03 ambayo chipset yake ni ya ovyo ovyo tu Unisoc T606, storage type yake ni slow Tena ni eMMC na bado inatumia microUSB, bado kamera yake nayo ni mbaya licha ya kuwa na 48MP na GCAM nahisi huwezi kupata, hiyo simu Haina fingerprint, kwenye gaming ni hovyo tu na AnTuTu score yake haifiki hata 150000points
Ulishawahi kuniambia kwenye thread yangu kuwa ninaleta ushabiki tu Lakini at least Mimi natoa na facts. Sasahivi nadhani umeona kati ya mimi na wewe nani analeta ushabiki
Hebu tuache ushabiki maandazi, tuangalie na facts basi[emoji38][emoji38]
 
Majiran baba,ndugu na jamaa[emoji28][emoji28]

Umezungukwa na infinix kila sehem,huwezi jua vingine[emoji28][emoji28]
Tecno walifanya vyema sana kuipunguza brand ya tecno kisha kuja na infinix, am sure after infinix watakuja na kampuni nyingine mbadala wake. Infinix anapiga ela balaa kaka.
 
Tecno walifanya vyema sana kuipunguza brand ya tecno kisha kuja na infinix, am sure after infinix watakuja na kampuni nyingine mbadala wake. Infinix anapiga ela balaa kaka.

Ni move nzuri ipa sijajua kama huwa wanakaa vyema kabla ya kuchagua majina[emoji28][emoji28].

Majina mabaya na bidhaa mbaya pia.
 
Mkuu Kanunue Simu Tigoshop, Easy ni Kampuni kubwa, utapata warranty, GB za Bure na kuna simu kibao zinauzwa Tigoshop na hazina hata lock ya mtandao wa simu unatumia tu popote.

Binafsi kwa Hio budget ni Redmi 10C inakufaa.
Neno la busara sana
 
Mkuu Kanunue Simu Tigoshop, Easy ni Kampuni kubwa, utapata warranty, GB za Bure na kuna simu kibao zinauzwa Tigoshop na hazina hata lock ya mtandao wa simu unatumia tu popote.

Binafsi kwa Hio budget ni Redmi 10C inakufaa.
Kaka chief mkwawa. Naomba kuuliza ubora wa Xiaomi Redmi 8a
 
Kaka chief mkwawa. Naomba kuuliza ubora wa Xiaomi Redmi 8a
Ni simu ya zamani mkuu toka 2019, unless una shida sana na budget ni chini ya laki 2 maybe ndo ununue, otherwise kuna simu mpya nyingi nzuri.
 
Mbona google pixel 4 zinarange bei humohumo? Inamaana google pixel 4 mlimani city wanauzaje?
 
Back
Top Bottom