Kati ya Mlimani City na Kariakoo, ni wapi nikanunue simu?

Kati ya Mlimani City na Kariakoo, ni wapi nikanunue simu?

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,126
Reaction score
2,537
Wakuu,

Nafikiri kwenda kununua simu, bajeti yake iko around 300k to 400k.

Hapa najiuliza wapi nikanunue, Kariakoo au Mlimani City?

Vitu vya kuangalia;
• Simu na bei
• Usalama wa simu
• Kupigwa cha juu kwa simu ya kawaida

Simu ipi itafaa zaidi kwa bajeti hiyo kutoka Samsung, Google Pixel and Oppo?

Nawasilisha
 
Wakuu
Nafikiri kwenda kununua simu bajeti yake iko around 300k to 400k

Hapa najiuliza wapi nikanunue, kariakoo au mlimani city

Vitu vya kuangalia
•simu na bei
•usalama wa simu
•kupigwa cha juu kwa simu ya kawaida

Simu ipi itafaa zaidi kwa bajeti hiyo kutoka samsung, google pixel and oppo

Nawasilisha
K Koo unapata Google pixel 4 au 4xl
 
Wakuu,

Nafikiri kwenda kununua simu, bajeti yake iko around 300k to 400k.

Hapa najiuliza wapi nikanunue, Kariakoo au Mlimani City?

Vitu vya kuangalia;
• Simu na bei
• Usalama wa simu
• Kupigwa cha juu kwa simu ya kawaida

Simu ipi itafaa zaidi kwa bajeti hiyo kutoka Samsung, Google Pixel and Oppo?

Nawasilisha
Hutaki brand nyingine yoyote?
Kama shida ni hizo brand kwa Bongo hii chukua tu Oppo A17 mpya, Google Pixel utapata used ila kamera itakuwa matata sana ingawa hazikai na chaji kidogo ununue Google Pixel 3a XL ndio inakaa na chaji. Samsung sanasana ni A12 ya 128GB
Otherwise agiza nje Ili upate kwa bei rahisi. Kiujumla hiyo bei Mimi nashauri ununue Xiaomi Redmi 10C ndio simu bora kuliko zote hapo kwa bei hii, naongelea kwa simu mpya na boksi lake
 
Mkuu Kanunue Simu Tigoshop, Easy ni Kampuni kubwa, utapata warranty, GB za Bure na kuna simu kibao zinauzwa Tigoshop na hazina hata lock ya mtandao wa simu unatumia tu popote.

Binafsi kwa Hio budget ni Redmi 10C inakufaa.
Hivi hiyo Redmi 10C GCAM unaikuta kama option mojawapo ya camera [emoji991] au inakuhitaji udownload??
Na ukitumia GCAM kuna nini cha ziada unakipata ambacho hakipo kwenye kamera ya kawaida [emoji1745][emoji1745]
 
Back
Top Bottom