Mbali na ubora unaoutafuta pia font si nzuri kwa aina hiyo ya ligi.Wakuu wa kitengo kwema? Samahani nina logo kwaajoli ya kampuni ya utalii nichague ipi kati ya hizi? Na pia kama kuna sehemu ya kurekebisha napokea mapendekezo [emoji1666][emoji1666]
Natanguliza shukraniView attachment 2338809View attachment 2338810
Mtaalam wangu anaitwa Kanju +255 746 719 684
Wakuu wa kitengo kwema? Samahani nina logo kwaajoli ya kampuni ya utalii nichague ipi kati ya hizi? Na pia kama kuna sehemu ya kurekebisha napokea mapendekezo [emoji1666][emoji1666]
Natanguliza shukrani