Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
1
2
3
4
7
8
2
3
4
7
8
Binafsi tangu nitoke nje ya mifumo hiyo sijatumia tool hata moja Kati ya hizo chache nilizotaja. Lkn niliwahi kumuuliza Prof aliyekuwa anafundisha na mengine makubwa zaidi ya hayo, akasema hata kama hautaaply hizo analysis of complex mathematics zinasaidia kutanua Uwezo wa akili kukabiliana na vitu tata maishani. Na hilo naamini ni moja ya automatic advantage.Mmekutana Nazi sasa ni innovation gani mmeshafanya hapa Tanzania au ni kukariri tu.
I love mathematics, nashukuru Mungu nilishapataga '''''''A''''''
hapa mimi ni 1,2,3,4,7,8,9,11 na 13 ndio zipo kwenye kumbukumbu
hahaha, mkuu mi wakati mwingine hata table ya saba na ya nane inazingua kichwani. O-level itakua nilipata zero aiseeeHa ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ...... Kama Mimi nasoma thread kama naelewa vile
Mmekutana Nazi sasa ni innovation gani mmeshafanya hapa Tanzania au ni kukariri tu.
hizi hesabu zipo zinatumika kama nchi itakapo hamua kuwa wasomi,maprofesa na wataalamu kutilia mkazo kiundani.ndipo tutaweza kutengeneza kila aina ya vitu leo tuna hona tuna agiza kwa wenzetu