Leibniz alisema kitu ambacho Newton alikuwa ameshakipitia ila hakupublish.Akaonesha kitabu chake chenye hizo calculus cha mwaka 1684 ambapo Leibniz yeye aligundua mwaka 1686 na hapo ndio alipomshindia,ila wote wanajulikana kama waanzilishi wa calculus ila Newton ndio baba wa calculusZote, ila ya 3 ina marekebisho /maboresho kidogo Calculus haikuanzishwa na a Isaac Newton bali ni Leibniz, ndiye baba wa Calculus!
Sana ni fourier transform lakini ni very similar na laplace, tunatumia katika signal processing, ni extremely powerful mathematical tool that allows us to view signals in a different domain.Uko vizuri mkuu, najua hata Laplace transform utakuwa hujacheza nazo mbali
View attachment 473497
Dah... Zinafungua vizuri sana ukijua zilifikaje hapouko vizuri mkuu, hizo formula zinafungua bongo sana
Dah.... Ukiangalia vizuri hata wanaofanya mambo ya upishi wanatumia zote hizoZote zipo hadi leo, niliwahi kufanya Mechatronics.
Hapana mkuu ni Isaac Newton ndio mwanzilishi wa calculus!Zote, ila ya 3 ina marekebisho /maboresho kidogo Calculus haikuanzishwa na a Isaac Newton bali ni Leibniz, ndiye baba wa Calculus!
Utakuwa umesoma geomatics kama sikosei maana hizo equation zote unaweza kuzipata kwenye numerical &adjustmentsnimekutana nazo zote, unaweza kujua mi nimesomea nini ee, nyingi hapo ni za advance na chuo kikuu (calculus)
Mkuuu hapo mimi nimekutana na 1,2,3,4,5,7,8,9,11,13.
hapa mimi ni 1,2,3,4,7,8,9,11 na 13 ndio zipo kwenye kumbukumbu
Doh mambo ya frequency na time domain, afu ziko similar kidogo na fourier transformUko vizuri mkuu, najua hata Laplace transform utakuwa hujacheza nazo mbali
View attachment 473497
Nlivyoona ndo nimekumbuka ila hata ukinipa swali siwezi hata mmoja
hapa mimi ni 1,2,3,4,7,8,9,11 na 13 ndio zipo kwenye kumbukumbu