Kati ya baba na mama wewe unampenda nani?

Kati ya baba na mama wewe unampenda nani?

Von Mo

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2012
Posts
1,819
Reaction score
1,188
Mambo vipi mtu wangu wa nguvu, kama kawaida ni siku nyingine tena ambayo Mungu ametujalia kuiona tayari tunaendelea kubofya keyboard japo wengine tumesahau hata kumshukuru asubuhi kwa uzima na ulinzi aliotupa.
Hope mko poa na mupo bize si unajua life goes the way yo direct it!

Back to the Topic: Kati ya baba na mama (wazazi) wewe unampenda nani?
Mimi Binafsi nimejikuta nampenda sana mama yangu kwani aliyonitendea ni makubwa sana, ni stori ndefu haimanishi
baba hayupo, hapana yupo na wanaishi wote na wanaelewana na ndoa yao ni ya miaka mingi. Lakini katika maisha
yangu mama amekuwa nguzo kuu na amekuwa na upendo ambao sijawahi kuuona popote pale, kwani nikipata shida
mama yangu lazima augue, '' mwaka 2003 nilikosa ada ya sekondari, nilimkuta mama analia sana, nikamwuliza mama
imekuwaje? akasema Mwanangu nimekosa pesa hata ya nauli ya kwendea shule, Mungu alivyo mwema nilikuwa
tayari nimeshafanya vibarua kwa masista wakawa wamenisupport, nilipomwambia ninayo daah! akafuta machozi"
....yapo mengi aliyoyafanya mama juu yangu, so mpaka sasa nampenda sana mama kuliko hata baba na siku zote
namkumbuka sana mama kuliko baba", SO I LOVE MY MUM than MY DAD, WEWE JE?

Hapa nakufundisha nini?
Katika maisha jaribu kuwajibika hususani ukiwa man ili uweze kuweka alama ktk familia yako, alama ya upendo,
alama ya kuheshimika na kuthaminika, tusiwaachie wanawake majukumu ya familia, aibu itakuja uzeeni pindi watoto wakifanikiwa, Si mnamwona Diamond na Baba yake? Marehemu Kanumba(R.I.P the great) na Baba yake?

MUNGU AWABARIKI WOTE, ASUBUHI NJEMA
 
Hapa nakufundisha nini?
Katika maisha jaribu kuwajibika hususani ukiwa man ili uweze kuweka alama ktk familia yako, alama ya upendo,
alama ya kuheshimika na kuthaminika, tusiwaachie wanawake majukumu ya familia, aibu itakuja uzeeni pindi watoto wakifanikiwa, Si mnamwona Diamond na Baba yake? Marehemu Kanumba(R.I.P the great) na Baba yake?

Mbona wote ulio watolea mfano hawakuishi na baba zao?
 
::
Nachojua mimi mtoto wa kiume anampenda sana Mama,
Na yule wa kike anampenda sana Baba.
Na ikitokea mtoto wa kiume amepata binti wa kuoa mwenye tabia kama za mama yake atamuoa haraka Na kinyume chake kwa binti.
NB
Mtazamo wa kisaikolojia sio wa kimalezi.
=
 
Swali la kitoto, kati ya nyama na ugali unapenda nini?

Hivyo viwili vinaenda pamoja, kutokuwepo kimoja ni shida tu. Usidhani mtu akirumanga ugali ni kwamba anapenda.

Sioni mantiki ya mie kuchagua nampenda nani
 
::
Nachojua mimi mtoto wa kiume anampenda sana Mama,
Na yule wa kike anampenda sana Baba.
Na ikitokea mtoto wa kiume amepata binti wa kuoa mwenye tabia kama za mama yake atamuoa haraka Na kinyume chake kwa binti.
NB
Mtazamo wa kisaikolojia sio wa kimalezi.
=

Kumbe Tetra na wewe ni mtaalamu wa saikolojia?
 
Last edited by a moderator:
Swali la kitoto, kati ya nyama na ugali unapenda nini?

Hivyo viwili vinaenda pamoja, kutokuwepo kimoja ni shida tu. Usidhani mtu akirumanga ugali ni kwamba anapenda.

Sioni mantiki ya mie kuchagua nampenda nani

Kweli kabisaaa..!
 
Swali la kitoto, kati ya nyama na ugali unapenda nini? Hivyo viwili vinaenda pamoja, kutokuwepo kimoja ni shida tu. Usidhani mtu akirumanga ugali ni kwamba anapenda. Sioni mantiki ya mie kuchagua nampenda nani
siyo lazima uchangie, kukaa kimya ni busara na hekima zaidi=kimya pia ni jubu
 
Swali la kitoto, kati ya nyama na ugali unapenda nini?

Hivyo viwili vinaenda pamoja, kutokuwepo kimoja ni shida tu. Usidhani mtu akirumanga ugali ni kwamba anapenda.

Sioni mantiki ya mie kuchagua nampenda nani

Familia uliyotoka na makuzi uliyokulia yanachangia kwa wewe kutoweza changua nani unempenda ila ni tofauti sana na maelezo ya mtoa mada na watu wengine, mfano mimi when I was young, nilikuwa naona jinsi my mother anavyokuwa mistreated na dad, tena bila huruma mara kibao tu alikuwa anafukuzwa na kulala nje na mimi nikiwa naye all the times hadi dady akawa anadai mimi na mama yangu letu moja though hata sikujuaga ugomvi wao ulikuwa unasababishwa na nini.

Mimi kiukweli nampenda sana mama yangu tena sana ila simchukii dad ila uzito wa penzi uko kwa mama na mdingi analijua hilo ila hana jinsi na uzuri huwa anakiri kuwa alimkosea mama na huwa anaomba msamaha kwa aliyomtendea. KongoshO mshukuru Mungu kama wazazi wako waliishi kwa upendo na amani
 
Mimi hata sijui nampenda zaidi nani kwakuwa mimi katika malezi na makuzi yangu wote wame play part kubwa japo kuna kipindi I used to think my daddy was bad kutokana na maneno fulani fulani lakini nilikuja kumuelewa when I was grown up.

when a man comes to understand that his father was right, he has a son who thinks that his father is wrong
 
Nampenda baba japo hajawai ishi nami na haplay part yoyote ya kujenga future yangu. Bt mama not much japo yeye ndo kila ki2 katika maisha yangu..frm born hadi leo... Na nko pekeangu 2.
 
:noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea: no idea
 
Nampenda baba japo hajawai ishi nami na haplay part yoyote ya kujenga future yangu. Bt mama not much japo yeye ndo kila ki2 katika maisha yangu..frm born hadi leo... Na nko pekeangu 2.

duuuuuh! ... hebu tumegee kidogo siri ya hayo malovee!!
 
MKATA KIU with her mom goes together like hands and gloves, you can't imagine even fiance share the same name with my mother,,

I can not imagine how beuty (internally and externally) my mother his,, my father was so luck to meet and mary her as I am luck too to get a chance to stay on her stomach on those beautiful days..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom