Katelephone kafanye checkup nje ya nchi. Utanishukuru

Katelephone kafanye checkup nje ya nchi. Utanishukuru

Acha uwongo, Ayubu Ngugai alikuwa na UKIMWI na Diabetes. Na hivyo ndivyo alitumia billion of shillings kuvitibia mwaka 2015/16 akiwa India.
mnapata wapi siri za magonjwa ya wakubwa?
 
Hata bi. Cheusi ashauriwe asijichqnganye sana, vinginevyo atalambishwa bungo.
 
Yeah lengo legeza kamba kidogo...punguza ugumu wa code
HUO Uzi siyo WA KILA MTU, JAPO KILA MTU anaweza kuusoma. KUNA disclaimer KULE MWANZONI KWENYE page ya KWANZA ukiwaomba BAADHI YA WATU wasihangaike kuusoma. KWA MFANO, pilikapila, pilipili, polepole, huoni kama HAYA MANENO YANA UHUSIANO?
HALAFU KWENYE J2 MOJA KABLA YA HAPO, ALIKUJA kwangu MTOTO mchanga AMBAYE HAJAWHI kuongea HATA NENO MOJA lakini SIKU HIYO ALIKUWA ANAONGEA NENO MOJA AKISEMA PIpi

WAKATI nikiwa Sejondari, niliwahi kuusoma KITABU kimoja CHA Abeid MSIBA. KWENYE mtaa FULANI KILIKUWA NI KICHaA MMOJA muokota makopo AMBAYE MARA ZOTE ALIKUWA akitamka SAA za afrika, SAA za afrika....
Kumbe ALIKUWA anamaanisaha KUWA KUNA Almasi zinaibiwa KULE South Afrika ILA WATU WALIKUWA hawaelewi
 
Miye sijui. Habari ndio hiyo. Hutaki acha. Walahi watu wabaya Nye Nye nye. Mayii. Yaleyale ya babu ayubu. Na bado. Ukitoka huko jichunge. Nalia mimi.
Mimi Kassim Majaliwa Mpiluka ni Mzima wa afya.
Ishu ya kula papuchi niliacha zamani sana,kwasasa nipo kijijini kwangu Mbeya nalima mapalachichi na kufanya ibada.
Mimi na Tuliha tulipigwa za uso na mtandao.
 
HUO Uzi siyo WA KILA MTU, JAPO KILA MTU anaweza kuusoma. KUNA disclaimer KULE MWANZONI KWENYE page ya KWANZA ukiwaomba BAADHI YA WATU wasihangaike kuusoma. KWA MFANO, pilikapila, pilipili, polepole, huoni kama HAYA MANENO YANA UHUSIANO?
HALAFU KWENYE J2 MOJA KABLA YA HAPO, ALIKUJA kwangu MTOTO mchanga AMBAYE HAJAWHI kuongea HATA NENO MOJA lakini SIKU HIYO ALIKUWA ANAONGEA NENO MOJA AKISEMA PIpi

WAKATI nikiwa Sejondari, niliwahi kuusoma KITABU kimoja CHA Abeid MSIBA. KWENYE mtaa FULANI KILIKUWA NI KICHaA MMOJA muokota makopo AMBAYE MARA ZOTE ALIKUWA akitamka SAA za afrika, SAA za afrika....
Kumbe ALIKUWA anamaanisaha KUWA KUNA Almasi zinaibiwa KULE South Afrika ILA WATU WALIKUWA hawaelewi
Nilikupata hapo kwenye pilipili..ila kiukweli naelewa asilimia 1 tu kati ya 100...na hata hiyo pilipili nakosa muunganiko na story nzima..kwakua uzi wote mzito
 
Back
Top Bottom