Katazo la matumizi ya plastic vp kuhusu condom na rasta za wa kinadada

Good Mood

Member
Sep 12, 2018
58
118
Kuanzia tarehe 1 mwez wa sita Tanzania itaacha rasmi matumizi ya mifuko isiyooza(mifuko ya plastic) ili kulinda mazingira. Napata ukakasi kidogo vp kuhusu condom zitaendelea kuwepo au nazo zitatafutiwa alternative(mbadala) ili kuweza kuondoa matumizi ya plastic
Kwa wale wafugaji wa kuku hapa nahisi watanielewa kuhusu athari za rasta kwa mifugo hiyo kwa sababu ni moja wapo wa bidhaa izo na pia hukata mifugo hiyo miguu na pia haiozi hata ikae mda mrefu vp nayo pia itakatazwa?
 
Habarini za majukum wana jamvi,
Kuna hii mifulo nasikia ina haribu mazingira na haitakiwi tena kutumika na mwisho ni tarehe moja mwezi ujao. Naomba kujua je!? Kondom nazo ni marufuku au zenyewe ni za chuma?! Na kama na zenyewe hazitakiwi ndo kusema sasa hivi mchezo ni Nyama kwa nyama!? Serikali tu fafanulieni hili.
IMG_20190525_205002.jpeg
IMG_20190525_205047.jpeg
IMG_20190525_205112.jpeg
IMG_20190525_205057.jpeg
IMG_20190525_205009.jpeg
 
Back
Top Bottom