Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 59
Ndugu zangu ..naombeni ushauri wenu! mdogo wangu amepangiwa katavi kama kituo chake cha kazi- ni pale pale makao makuu ya mkoa...je ni fursa gani zilizopo pale? vipi kuhusu huduma za msingi kama nyumba ya kupanga maji na umeme! gharama za maisha kwa ujumla sababu mshahara wake ni mdogo TGS D...naombeni sana wanajamvi mliopo katavi au mliowahi kuishi katavi mtushauri ukizingatia huu ni mkoa mpya