Mtendaji wa kaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 334
- 59
- Thread starter
- #21
vipi kuhusu gharama za kupanga nyumba ya vyumba visivyopungua 3...?
Kuna fursa nyingi sana huko na watu ni washamba so ukiwatumia hela unapata,,,,,,,,
na je ukitaka kuomba kubadilishiwa kituo cha kazi ni utaratibu gani unaufanya?
Ndugu zangu ..naombeni ushauri wenu! mdogo wangu amepangiwa katavi kama kituo chake cha kazi- ni pale pale makao makuu ya mkoa...je ni fursa gani zilizopo pale? vipi kuhusu huduma za msingi kama nyumba ya kupanga maji na umeme! gharama za maisha kwa ujumla sababu mshahara wake ni mdogo TGS D...naombeni sana wanajamvi mliopo katavi au mliowahi kuishi katavi mtushauri ukizingatia huu ni mkoa mpya
Kwanini abadilili kituo? Kama hamtaki afanye kazi sehemu aliyopangiwa bila sababu za msingi si mumuachishe kazi tu abaki nyumbani?
Mtu hajafika ata kuangalia mazingira ya kazi mnaanza kufikiria kumhamisha kituo. Nyie ndio mnaosababisha mianya ya rushwa.
Muachane afanye kazi acheni kuendekeza upuuzi wa kitanzania.
Wewe utakuwa ni Mzenji au bado umri wako ni mdogo sana! Hata mbuga ya wanyama ya Katavi hukuwahi kuisikia!!!!!!!Basi nkafkir Katavi ndio kahamishwa kituo cha kazi sijawahi jua kama katavi ni jina la mahali