kwahiyo hapo sawa na zero! wamemwaga mboga kamwaga ugali! wote hawali ila yeye ataumia zaidi.Action and reaction are equal but opposite in direction
kwahiyo hapo sawa na zero! wamemwaga mboga kamwaga ugali! wote hawali ila yeye ataumia zaidi.Action and reaction are equal but opposite in direction
Kwani kwenye mkataba alisema wasipomlipa atabomoa?Kajenga kwa gharama zake
Nyie Halmashauri mmekataa kumlipa kwa kuwa taratibu za Tender hazikufuatwa
Kaamua kwenda kuchukua vitu alivyojenga ili mtafute mtu wenu kwa taratibu ajenge,
Halmashauri zingine ni matapeli, wanakupa tender ukishakamilisha wanaanza kutafuta visingizio
Kama kabomoa alichojenga kwa kuwa taratibu za zabuni zilikiukwa kwanini tukasirike?
Tabia ya dhulma inazidi kuota mizizi nchini
VandalismAction and reaction are equal but opposite in direction
A right delayed is a right denied.Una uhakika alikuwa anadhulumiwa! Nahisi ni malipo kucheleweshwa tu mengine ni hasira za mkizi!
Utamlipaje mtu ambae wanasema alipewa tenda pasipo kufuatwa kwa taratibu?Kwani kwenye mkataba alisema wasipomlipa atabomoa?
Utamlipaje mtu ambae wanasema alipewa tenda pasipo kufuatwa kwa taratibu?
Kwahiyo alijenga kimakosa? Ana haki ya kubomoa?Utamlipaje mtu ambae wanasema alipewa tenda pasipo kufuatwa kwa taratibu?
Kwani kwenye mkataba alisema wasipomlipa atabomoa?
Ndio maana naona yuko sahihi kung'oa madirisha yake,maana amefanya kazi yake baadae akaambiwa kulikosewa procedures za kumpa tenda.Kwani yeye huyo mzabuni hiyo tenda aliipataje?Alipora hiyo tenda Kwa nguvu Kwa kutumia silaha??? Je huyo mzabuni hiyo tenda alijipa mwenyewe?? Je huyo mzabuni Ni mfanyakazi ktk hiyo Halmashauri ya Wilaya??
Watumishi WA Halmashauri ya Wilaya waliotoa hiyo tenda bila kufuata Sheria ndio walipaswa kuadhibiwa lakini siyo kumuadhibu mzabuni peke yake
Hakujenga kimakosa,waliompa tenda wanasema walimpa kimakosa.Kwahiyo alijenga kimakosa? Ana haki ya kubomoa?
Umeshawahi kufanya tenda serikalini na taasisi zake!A right delayed is a right denied.
Nakushauri, daima usimame kwenye haki, acha ushabiki kwenye masuala nyeti yanayohusu haki za watu.
WEZIIHAOO HIZO HELA WAMEKYLAA.NDIOMAANA LEO RAISI KATISHIA WATU.MTAMA ATAKAEKULA.HELA ZA HOSPTAL ATAZITAPIKAMkandarasi aliyefahamika kwa jina la Boniface Exavery, ambaye alitengeneza madirisha ya Almunium na katika Kituo cha Afya cha Katumba, Halmashauri ya Nsimbo ya mkoani Katavi, ameyavunja madirisha hayo, kwa kile alichokidai kutokamilishiwa malipo yake na ofisi ya Halmashauri huku akiwaameshamaliza kazi.
Akizungumza mara baada ya kutembelea eneo hilo, Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera, amedai mradi huo ulikuwa umekiuka taratibu mbalimbali za kisheria, ikiwemo upatikanaji wa tenda hiyo.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, mwenyewe ameeleza kushtushwa na hatua ya Mkandarasi huyo, na kueleza taarifa za awali walizipata kutoka kwa wananchi, na kulitaka Jeshi la Polisi kumshikiria Mkandarasi huyo, huku akikiri Halmashauri kutomlipa malipo yake.
Mmoja wa Wakandarasi ambaye anajulikana kama Bulaya Mushi, ambaye na yeye anaidai Halmashauri hiyo kwenye mradi huo wa Kituo cha Afya, amemuomba Mkuu wa Mkoa kuangalia madai yao ili waweze kulipwa na Halmashauri hiyo.
Waandishi wengine pumbafff sana. Jamaa aliyeweka hayo madirisha alipoambiwa hiyo tenda siyo yake akayachukua akaondoka nayo wala hakuvunja chochote na halmashauri waliona sawa maana ni wao walimwambia hawamtambui. Sasa akitoa madirisha yake ndo wanataka atambulike?hata mimi nilikuwa nashangaa kwanini ayavunje wakati anaweza kuyachomoa akasepa nayo
Akili za Wana CCM hizo za kufurahia wenzao kutolipwaKUVUNJA ni neno lenye mshiko kwa lengo lako, bahati mbaya hakufanya hivyo aliyachomoa akaacha fremu, madirisha ya aluminiamu mtu yeyote anaweza akayachomoa kwani hupachikwa baada ya kufunga fremu. Tukio ulisemalo lilioneshwa kwenye luninga na hakuna kilichovunjwa japo siku hizi watanzania wengi hufurahia kuwaingiza matatizoni wenzao kwa kukuza mambo.