Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,246
- 1,727
Hajavunja madirisha...jamaa alichofanya ni kuchomoa na kuchukua madirisha yake...walichomfanyia ni dhuluma ya waziwazi...mtu mumempa kazi amefanya kazi yake amemaliza vizuri alafu wanamzungusha hawataki kumlipa pesa zake...huo ni ubabe na dhuluma za waziwaziNi vile kichwa cha habari "ayavunja madirisha"!! kilivyo