Kama angeacha ingekuwa alama wazi ya udhalimu aliofanyiwa na kwa vile amevunja hapo ndipo uhujumu unapoanzia na ile mali haikuwa yake na hapo kosa linakuja kuharibu mali ya umma!! Hana uvumilivuKafanya sahihi, angedai miaka.
Kama angeacha ingekuwa alama wazi ya udhalimu aliofanyiwa na kwa vile amevunja hapo ndipo uhujumu unapoanzia na ile mali haikuwa yake na hapo kosa linakuja kuharibu mali ya umma!! Hana uvumilivuKafanya sahihi, angedai miaka.
Tukio ulisemalo lilioneshwa kwenye luninga na hakuna kilichovunjwa japo siku hizi watanzania wengi hufurahia kuwaingiza matatizoni wenzao kwa kukuza mambo.
Inasemekana ni binamu yake Fundi MaikoHAHAHA MKUU SIO FUNDI MAIKO HUYO KWELI??
watanzania wengi ni wanafiki sanaKUVUNJA ni neno lenye mshiko kwa lengo lako, bahati mbaya hakufanya hivyo aliyachomoa akaacha fremu, madirisha ya aluminiamu mtu yeyote anaweza akayachomoa kwani hupachikwa baada ya kufunga fremu. Tukio ulisemalo lilioneshwa kwenye luninga na hakuna kilichovunjwa japo siku hizi watanzania wengi hufurahia kuwaingiza matatizoni wenzao kwa kukuza mambo.
Umeongea point ya maana sana mkuu. Serikali kuu, idara zake na hata serikali za mitaa kama huko Halmashauri ndio chanzo kikubwa cha matatizo ya wakandarasi hasa wazawa maana hua hawalipwi kwa wakatiNaliomba jeshi la polisi limshikilie Mkurugenzi wa Halmashauri kwa nini halipi madeni, ama hata kupatana na wakandarasi nn kinafuata. Mm kudai changu hamnipi, eti kamateni, lipa changu nisepe, ama nang'oa mtu meno kama cyo madirisha.
Avumilie nini,mtu kashamaliza kazi yake mnamcheleweshea malipo yake mnategemea ataishi vipi..kama hawatamdhulumu kwanini wanamcheleweshea malipoNdio tatizo la mswahili..huwa hatuna uvumilivu...utafkiri hayo malipo watamdhulumu.
Hajaaribu kitu,jamaa kachomoa madirisha yake tena ni ya aluminium kaondoka nayoTatizo huwa ni nini fedha zipo kulipwa ina kuwa mzunguko mrefu sana..Pia jamaa kafanya jambo baya kualibu madirisha
Ameharibu mali ipi ya umma,tulioona kwenye tv hakuna mali ya umma iliyoharibika...jamaa kachomoa madirisha yake ya aluminium tena vizuri tu pasipo uharibifu..Kama angeacha ingekuwa alama wazi ya udhalimu aliofanyiwa na kwa vile amevunja hapo ndipo uhujumu unapoanzia na ile mali haikuwa yake na hapo kosa linakuja kuharibu mali ya umma!! Hana uvumilivu
Uking'oa anaweza ukayatumia kwenye fremu nyingine saizi hiyohiyo. Hauwezi ukavunja mali yako kisa haijalipiwa! Utaitumia kwingine ambako wako tayari kulipa haraka.fundi maiko kaona kuliko asubiri bora ayang’oe wakose wote
Ni vile kichwa cha habari "ayavunja madirisha"!! kilivyoAmeharibu mali ipi ya umma,tulioona kwenye tv hakuna mali ya umma iliyoharibika...jamaa kachomoa madirisha yake ya aluminium tena vizuri tu pasipo uharibifu..
Na anaweza asipate tenda tena halmashauri au serikalini!Ndio tatizo la mswahili..huwa hatuna uvumilivu...utafkiri hayo malipo watamdhulumu.
Kichwa cha mleta mada kina ukakasi! hajuwi tofauti kati ya kuvunja na kutoa, amepotoshaHajaaribu kitu,jamaa kachomoa madirisha yake tena ni ya aluminium kaondoka nayo