kha Catherine mdogo wangu upo?? mi mithd u bana! nimekataje sasa? naupenda huo wimbo balaa, unanikumbusha rungwe disco wakati nakua, i used kwenda na dad na mom, na motel agip chuni ya manager mzee abisai, baba alikuwa na pijot gari 504 khaaaaaaaaaa!Umetaja wanawake tu wakate. Nyie pia mnatakiwa kukata.
Kataaa Asprin kata, mpaka cacico adate.
kataaa@kaizer kata mpaka gfsonwin azime.
Kataaa Judgement kataa hadi beibe nasty adate.
Kataaa Vin Diesel, hadi sweetlady apagawe.
Kataaa wanaume wooote.
Erickb52 we najua unakata sana tena daily. Lol
Hahahaaaaaa kulea watoto kwani kunahitaji nguvu?
Lol nipe basi aisee maana kamekaa poa sana
kha Catherine mdogo wangu upo?? mi mithd u bana! nimekataje sasa? naupenda huo wimbo balaa, unanikumbusha rungwe disco wakati nakua, i used kwenda na dad na mom, na motel agip chuni ya manager mzee abisai, baba alikuwa na pijot gari 504 khaaaaaaaaaa!
Nyani Ngabu unataka kurusha nyavu hapo eeeh?Haya harakisha....
In the meantime, una watoto wangapi wewe? Mmoja au wawili? Au mmoja na mwingine ndo yuko njiani? Umeolewa?
Nyani Ngabu unataka kurusha nyavu hapo eeeh?
Hahahaaa hapa sioni hata cha kuandika lol, andika proposal, uattach cv na financial statements zako.
Hahahaaa huyu mwanachama mpya ila nashangaa siku ya kwanza na comment yake ya kwanza jukwaa la utambulisho aliweza ku-mention LolWala sio hivyo hata kidogo. Ni ufatashi wangu tu wa kutaka kujua zaidi kuhusu huyu mwanachama mupya.
Hahahaaa hapa sioni hata cha kuandika lol
We unataka kama nini vile
Ok sawanitakutumia sample.
Haswaaaaaaa.....mtoto nna mafunzo muulize Vin Diesel atakuhakikishia!
Na siku hizi nimegundua style mpya ya kukatam lol
Natamani kuionyesha hapa sweetlady
Hahahaaaa Vin Diesel kumbuka humu kuna vya wote ooohNtakushusha mshipa kijana...hala hala na wake za watu....
Hahahaaaa Vin Diesel kumbuka humu kuna vya wote oooh
Usiniue bure wakati wao ndio wanataka na wanaipenda pia na wanaing'ang'ania
Msegeju ana ng'ombe
Nami nna ng'ombe zangu
Namwambia tuchanganye hataki
Kwa heri nenda zangu
Kataaa kata
Kata Kaunga kata
Kiuno chako mwenyewe
Kata Erotica kata
Kata Zinduna kata
Kata Amyner kata
Mpaka erick azibuke
Kataaaa kata.......
Kongosho kaa pembeni kurrreeee haya huyawezi labda ingekuwa chagulaga.