Inabidi Watanzania tujiandae kisaokolojia kuwa CCM hawataondoka madarakani kiurahisi. Wanajua hawapendi tena na hawawezi kushinda uchaguzi wowote kiuhalali na hawako tayari kuachia keki hii. Hivyo basi wananchi inabidi tuelewe tutapigwa tutafunguliwa kesi za kubambikiza ma mengine mengi.
Mungu tusaidie
Mungu tusaidie