babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Tatizo la ccm lilianza mwaka 1995.
Hawakuzoea siasa za majukwaani ndo mana wanalazimisha kupiga kura na kubeba kwa hotpot sasa wakibanwa huanza pandisha mzuka.
Ccm wenyewe hawaamini polisi wanavikosi vyao vya wanaita walinzi wa kijani tuwafundisheni siasa.
Hawakuzoea siasa za majukwaani ndo mana wanalazimisha kupiga kura na kubeba kwa hotpot sasa wakibanwa huanza pandisha mzuka.
Ccm wenyewe hawaamini polisi wanavikosi vyao vya wanaita walinzi wa kijani tuwafundisheni siasa.