Kasumba ya "umangi" bado inawatesa Timu-Mbowe: G-55 ya kina Mrema wamekubali ushindi wa Timu Lissu kwa kujitoa Chadema na kutokomea kusikojulikana

Kasumba ya "umangi" bado inawatesa Timu-Mbowe: G-55 ya kina Mrema wamekubali ushindi wa Timu Lissu kwa kujitoa Chadema na kutokomea kusikojulikana

Doctor Mama Amon

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
2,311
Reaction score
3,490
1746610328041.png

Zaidi ya 50% ya wajumbe wa kikundi kinachojiita G-55 ni wachaga wa Arusha na Moshi, na walikuwa TImu Mbowe kabla, wakati na baada ya uchaguzi wa Mwenyekti Lissu wa Januari mwaka huu.

Tangu kuasisiwa kwake hadi mwaka jana, kati ya vikwazo vikubwa vya kisiasa dhidi ya Chadema, kikwazo namba moja kilikuwa ni harufu ya shobo la "umangi wa kichaga".

Yaani imani ya viongozi wakuu wa Chadema kwamba Chadema ni mali ya "kabila bora" la Wachaga, na makabila mengine ni wasindikizaji tu.

Pia soma > Rasmi G-55 wajiondoa CHADEMA

Mtazamo huu ulitoa fursa kwa watu wa usalama kuipiga mkasi Chadema, maana "umangi wa kichaga" ni tishio halisi dhidi ya umoja wa Taifa lenye makabila 120 plus.

Mfano, hayati Samuel Sitta aliwahi kutamka wazi kwamba, kwa hali ilivyo ndani ya Chadema ya miaka ile, hata kama Chadema wangekishinda urais wasingeweza "kupewa" nchi.

Kauli hii ilikuwa inaungwa mkono na Kamisaa wa Dawati la Siasa, Peter Nyamanchi Tyienyi.

Sitta na Tyienyi ni marehemu.

Lakini sasa, uchaguzi wa Lissu kuwa Mwenyekiti umefuta umangi huu.

Sitta na Tyienyi wangefufuka leo watajiunga na Chadema hakika.

Na sasa kuondoka Chadema kwa hawa G-55 kunahitimisha mchakato wa kukisafisha Chadema.

Busara ya "Mafahari wawili hawakai zizi moja" imetimia, na Chadema ya Watanzania wote sasa inachipuka kwa nguvu zaidi.

Nawatakia safari njema hawa G-55, tukutane jukwaani.

No Reform, No Election.

Umangi Never, Utaifa Forever.

1746611343962.png
 
Sasa ni wakati wa CHADEMA wa kubeba jukumu la kuwa chama cha Kitaifa. Na siyo kikabila, au kikundi cha watu wachache wenye nguvu ya kifedha kama ilivyo kwa ccm ya sasa.
Kabisa, ule uchafu wa uchaga umeisha rasmi, na ikibidi na Mbowe naye aage haraka, maana hili genge lake lilichangia sana cdm kuonekana chama cha wachaga na maslahi. Cdm sasa ifanye siasa za kweli bila kuendekeza maridhiano uchwara.
 

Zaidi ya 50% ya wajumbe wa kikundi kinachojiita G-55 ni wachaga wa Arusha na Moshi, na walikuwa TImu Mbowe.

Tangu kuasisiwa kwake hadi mwaka jana, kati ya vikwazo vikubwa vya kisiasa dhidi ya Chadema, kikwazo namba moja kilikuwa ni "itikadi ya uchaga".

Yaani imani kwamba Chadema ni mali ya kabila bora la wachaga, na wengine ni wafuasi.

Pia soma > Rasmi G-55 wajiondoa CHADEMA

Mtazamo huu ulitoa fursa kwa watu wa usalama kuipiga mkasi Chadema.

Mfano, hayati Samuel Sitta aliwahi kutamka wazi kwamba, kwa hali ilivyo ndani ya Chadema ya miaka ile, hata kama Chadema wangekishinda urais wasingeweza "kupewa" nchi.

Kauli hii ilikuwa inaungwa mkono na Kamisaa wa Dawati la Siasa, Peter Nyamanchi Tyienyi.

Sitta na Tyienyi ni marehemu.

Lakini sasa, uchaguzi wa Lissu kuwa Mwenyekiti umefuta umangi huu.

Sitta na Tyienyi wangefufuka leo watajiunga na Chadema hakika.

Na sasa kuondoka Chadema kwa hawa G-55 kunahitimisha mchakato wa kukisafisha Chadema.

Busara ya "Mafahari wawili hawakai zizi moja" imetimia, na Chadema ya Watanzania wote sasa inachipuka kwa nguvu zaidi.

Nawatakia safari njema hawa G-55, tukutane jukwaani.

No Reform, No Election.

Umangi Never, Utaifa Forever.

Mama Amon una busara sana, nahisi ni mtu mmoja mwenye credencials sana.
 
Sasa ni wakati wa CHADEMA wa kubeba jukumu la kuwa chama cha Kitaifa. Na siyo kikabila, au kikundi cha watu wachache wenye nguvu ya kifedha kama ilivyo kwa ccm ya sasa.
Hii ni point

Chadema ya kitaifa ndio kwanza inaingia ulingoni

Waende zao hao, hao ndio wamechelewesha ukombozi wa nchi hii
 
Back
Top Bottom