Kasuku

Wambuzi

JF-Expert Member
Nov 25, 2011
557
319
[h=6]

Kuna jamaa alimrudisha kasuku
dukani,
Akamwambia mwenye kasuku,
kasuku huyu ana2kana sana,
naomba unipe mwengine,
... Muuza kasuku akamtolea
mwengine, akamwambia huyu
ha2kani ila akinyanyua mguu
wa kulia anaongea kihindi,
Akinyanyua wa kushoto
anaongea kiarabu,
Mnunuzi akauliza je akinyanyua
yote miwili?
Kasuku akamwambia"we
****** nini!!?? C nitaanguaka
[/h]
 
[h=6]

Kuna jamaa alimrudisha kasuku
dukani,
Akamwambia mwenye kasuku,
kasuku huyu ana2kana sana,
naomba unipe mwengine,
... Muuza kasuku akamtolea
mwengine, akamwambia huyu
ha2kani ila akinyanyua mguu
wa kulia anaongea kihindi,
Akinyanyua wa kushoto
anaongea kiarabu,
Mnunuzi akauliza je akinyanyua
yote miwili?
Kasuku akamwambia"we
****** nini!!?? C nitaanguaka.atapaa!jiongeze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom