Kasimuliwa na mpenzi wangu naye anataka

Kasimuliwa na mpenzi wangu naye anataka

wewe na hivyo videm vyako woote mnaonekana bado watoto.
maana kwa upuuzi ulio andika hapa na wahuyo dem wako na hicho kingine kinachotaka kugegedwa naona mpo sawa kabisaaa.
 
Yaani mtu mzima bila aibu unakuja kusimulia kuwa unataka kugonga rafiki wa demu wako? Huna hata haya, wenzio wanafanyaga kwa siri coz ni jambo la fedheha wewe unaona km ujanja!!
 
Mkuu sio we we uliyesema kuna wanawake wanataka kukubaka? Mkuu Tyta popote ulipo nilikuwa nakusalimia tuu.

Haha... Tyta njoo
huyu kijana muongo muongo
[h=3]Warembo 7 wananiwinda wanibake[/h] Started by Annael, Yesterday 11:20
Naombeni ushauri. Hawa warembo wamekuwa wajigonga sana kwangu na mimi nimekuwa kauzu zaidi ya dagaa.
hapo kwenye green ...unakumbuka hii thread yako hapa...?
[h=3]Mimi siwezi kuwa na urafiki wa kawaida na mwanamke asiye ndugu yangu[/h] Started by Annael, 25th August 2014 20:53
Huwa nashangaa eti unakuta mwanamke anakwambia he is just a friend. Yaan dume na lina nguvu za kiume unaniambia hivyo.

Sijui ni chinje au ni ache.
kwani hapa chini ulisemaje...
Yaani mimi huwa siwezi kabisa kuwa na just a friend lazina nitamuomba tu.
 
huyo dem wako huyo kuwa makini, leo kasimulia kwa huyo kesho atakaa na njemba asimulie unajua kushughulika af njemba zije kuprove....
 
Aise wanawake wa ajabu kweli.

Kuna msichana mmoja mkali kinoma kuzidi mpenzi wangu.

Anataka nayeye nimfanyie kama rafiki yake. Amekuwa akinisumbua yapata miezi mitatu sasa.

Huyu demu hafichi ananieleza ukweli jinsi anavyosimuliwa na rafiki yake namna gani ninavyo mpandisha panapo Kilimanjaro.

Amekuwa anatamani sana na yeye apate nafasi hiyo japo siku moja.

Sijui ni chinje au ni ache. Unajua mitego hii nyie wapenzi mnatutengenezea.

WEWE NI DAILY PUMBA PRODUCER SASA HIZI POST ZA KUTUNGA ZINASAIDIA NINI??
"COMMON SENSE IS NOT COMMON"
nimeandika kwa herufi kubwa ili uweze kusoma na kuelewa
 
Aise wanawake wa ajabu kweli.

Kuna msichana mmoja mkali kinoma kuzidi mpenzi wangu.

Anataka nayeye nimfanyie kama rafiki yake. Amekuwa akinisumbua yapata miezi mitatu sasa.

Huyu demu hafichi ananieleza ukweli jinsi anavyosimuliwa na rafiki yake namna gani ninavyo mpandisha panapo Kilimanjaro.

Amekuwa anatamani sana na yeye apate nafasi hiyo japo siku moja.

Sijui ni chinje au ni ache. Unajua mitego hii nyie wapenzi mnatutengenezea.
Hiyo midege ya mtume .... we chinja ule.....
ila kama unamuheshimu mpenzi wako achana na huyo rafiki yake.... maana mpenzi wako anajisifia kuwa amepata mtu, sifa kibao unamwagiwa sasa wewe inakubidi ukaze kwake sio kwa rafiki yake... ila kama haumweshimu na kumpenda kula rafiki huyo
 
alafu ukikamatwa umechepuka urudi tena hapa kuomba ushauri???
Hapo amua mwenyewe mkuu.....cost-benefit analysis........
ILA USIWE FISI...........
 
Aise wanawake wa ajabu kweli.

Kuna msichana mmoja mkali kinoma kuzidi mpenzi wangu.

Anataka nayeye nimfanyie kama rafiki yake. Amekuwa akinisumbua yapata miezi mitatu sasa.

Huyu demu hafichi ananieleza ukweli jinsi anavyosimuliwa na rafiki yake namna gani ninavyo mpandisha panapo Kilimanjaro.

Amekuwa anatamani sana na yeye apate nafasi hiyo japo siku moja.

Sijui ni chinje au ni ache. Unajua mitego hii nyie wapenzi mnatutengenezea.

mwl wa civics alkuja leo kweli mana mwenzio sikuwepo shule
 
Last edited by a moderator:
Kidumu chama cha mapinduzi, wajinga wanazidi kuwa wengi badala ya kupungua
 
Back
Top Bottom