Kasimuliwa na mpenzi wangu naye anataka

Kasimuliwa na mpenzi wangu naye anataka

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,961
Aise wanawake wa ajabu kweli.

Kuna msichana mmoja mkali kinoma kuzidi mpenzi wangu.

Anataka nayeye nimfanyie kama rafiki yake. Amekuwa akinisumbua yapata miezi mitatu sasa.

Huyu demu hafichi ananieleza ukweli jinsi anavyosimuliwa na rafiki yake namna gani ninavyo mpandisha panapo Kilimanjaro.

Amekuwa anatamani sana na yeye apate nafasi hiyo japo siku moja.

Sijui ni chinje au ni ache. Unajua mitego hii nyie wapenzi mnatutengenezea.
 
we baba Klaleeee weweeeeee,unawaza chini tu,humuogopi mama Klaleee???
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niendelee kusugua gaga mie,
matangazo haya ya bure yangelipiwa yangeitajirisha jf
 
Mkuu sio we we uliyesema kuna wanawake wanataka kukubaka? Mkuu Tyta popote ulipo nilikuwa nakusalimia tuu.
 
Last edited by a moderator:
He he he, mwishowe ungekomenti; waione kina dada wote wa jf
 
Ni mimi bhana najishangaa kweli.

Sio kwamba unajishangaa bali utunzi kumbukumbu...nakushauri kuwa makini usiwe msahaulifu ..... jf ina tunza kumbukumbu soon utabaki na nguo ya ndani tuu!

Samahani lakini!
 
.....and some1 told me jf chicz are kinda different, ain't bought that cheaply.
 
Mtoa mada nilikuuliza mtihani wa la 7 mnafanya lini hukunijibu
 
Aise wanawake wa ajabu kweli.
Kuna msichana mmoja mkali kinoma kuzidi mpenzi wangu.
Anataka nayeye nimfanyie kama rafiki yake. Amekuwa akinisumbua yapata miezi mitatu sasa.

Huyu demu hafichi ananieleza ukweli jinsi anavyosimuliwa na rafiki yake namna gani ninavyo mpandisha panapo kilimanjaro.

Amekuwa anatamani sana na yeye apate nafasi hiyo japo siku moja.

Sijui ni chinje au ni ache. Unajua mitego hii nyie wapenzi mnatutengenezea.

hivi ww ni mwanaume? Hilo jina lako mm najua ww ni mwanamke
 
mbona ID na story haviendani?! yaani "different color one people" ..........

Grand PA
 
Back
Top Bottom