USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Walianza wasanii kuweka hereni, kusuka kama wanwake, kuvaa hereni puani, sasa ni kuweka rangi kwenye nywele tena unalikuta jamaa la miaka 50+ lipo lipo tu.
Leo watu wa kawaida tu mitaani nao wanaiga huu upuuzi .
USSR.
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Leo watu wa kawaida tu mitaani nao wanaiga huu upuuzi .
USSR.
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app