Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,542
- 3,451
Miongoni mwa mambo ninayoyaona kama hatari sana katika maisha ya watu ni " kubebwa na mfumo" badala ya kuandaa nao.
Watendaji wa Rais walio wengi wanaonekana kubebwa na mfumo na kwa maana hiyo utendaji wao hauakisi jona kwa moja kasi ya Mheshimiwa Rais.
Wananchi wengi wamejenga imani kubwa sana juu ya kasi ya utendaji wa Rais kuliko viongozi wao wanapokuwa nao mara kwa mara.
Jambo hili linaipa sifa nzuri CCM ila linaweza likawawekea mfumo ngumu na hatari sana wale wote wanaobebwa na mfumo kwenye uchaguzi ujao.
Ni vyema kiongozi kuwajibika kwa kuendana na mfumo na siyo kubebwa na mfumo kwa sababu kitakachokuwajibisha na kukuwekea mazingira mazuri ni jitihada zako za kuendana na mfumo na siyo kule kubebwa na mfumo.
Watendaji wa Rais walio wengi wanaonekana kubebwa na mfumo na kwa maana hiyo utendaji wao hauakisi jona kwa moja kasi ya Mheshimiwa Rais.
Wananchi wengi wamejenga imani kubwa sana juu ya kasi ya utendaji wa Rais kuliko viongozi wao wanapokuwa nao mara kwa mara.
Jambo hili linaipa sifa nzuri CCM ila linaweza likawawekea mfumo ngumu na hatari sana wale wote wanaobebwa na mfumo kwenye uchaguzi ujao.
Ni vyema kiongozi kuwajibika kwa kuendana na mfumo na siyo kubebwa na mfumo kwa sababu kitakachokuwajibisha na kukuwekea mazingira mazuri ni jitihada zako za kuendana na mfumo na siyo kule kubebwa na mfumo.