Malimu Nyerere aliwahi kusema.
"Ukitaka kumsaidia Maskani si kuwapanga na kuwagawia pesa ila somesha Mtoto wa maskini tena mpe elimu nzuri"
Hii falsafa ni nzuri sana kwa sababu ukisha mpa mtoto elimu nzuri, kwanza huwezi kumnyang'anya na pili hii elimu itasaidia wazazi wake na Taifa.
Kuna vitu vizuri sana anafanya Rais wetu na ambavyo viongozi wanaokuja kumridhi kama watakuwa wabovu vituo vya afya vitabaki majengo matupu yasilyo na dawa wala wataalamu, elimu ya bure haitakuepo, mabara bara hayatatengenezwa yaharibika b nk.
Tuendelee kuboresha elimu ya watoto wetu ili iwe bora na baada ya hapo basi huyu mtoto wa maskini apate ajira.
Huwezi kusema ajiajiri kwa sababu anakuwa hana mtaji na uzoefu.
"Ukitaka kumsaidia Maskani si kuwapanga na kuwagawia pesa ila somesha Mtoto wa maskini tena mpe elimu nzuri"
Hii falsafa ni nzuri sana kwa sababu ukisha mpa mtoto elimu nzuri, kwanza huwezi kumnyang'anya na pili hii elimu itasaidia wazazi wake na Taifa.
Kuna vitu vizuri sana anafanya Rais wetu na ambavyo viongozi wanaokuja kumridhi kama watakuwa wabovu vituo vya afya vitabaki majengo matupu yasilyo na dawa wala wataalamu, elimu ya bure haitakuepo, mabara bara hayatatengenezwa yaharibika b nk.
Tuendelee kuboresha elimu ya watoto wetu ili iwe bora na baada ya hapo basi huyu mtoto wa maskini apate ajira.
Huwezi kusema ajiajiri kwa sababu anakuwa hana mtaji na uzoefu.