Kasi ya utendaji wa Rais wa awamu ya tano inawabeba watendaji wake wengi mno na ni hatari sana wakibweteka

Malimu Nyerere aliwahi kusema.
"Ukitaka kumsaidia Maskani si kuwapanga na kuwagawia pesa ila somesha Mtoto wa maskini tena mpe elimu nzuri"
Hii falsafa ni nzuri sana kwa sababu ukisha mpa mtoto elimu nzuri, kwanza huwezi kumnyang'anya na pili hii elimu itasaidia wazazi wake na Taifa.
Kuna vitu vizuri sana anafanya Rais wetu na ambavyo viongozi wanaokuja kumridhi kama watakuwa wabovu vituo vya afya vitabaki majengo matupu yasilyo na dawa wala wataalamu, elimu ya bure haitakuepo, mabara bara hayatatengenezwa yaharibika b nk.
Tuendelee kuboresha elimu ya watoto wetu ili iwe bora na baada ya hapo basi huyu mtoto wa maskini apate ajira.
Huwezi kusema ajiajiri kwa sababu anakuwa hana mtaji na uzoefu.
 
Wameisha bweteka unategemea kubweteka mara ya mpili.Yule kijana wa Munauye Moses alipowatetea wapiga kura wake wakulima wa korosho wapo wenzake waliomubeza lakini jamani ni wabunge wa aina gani wanaopewa kura wakienda bungeni hawatetei wapiga kura wake wanaishia kuunga mkono ,hawathubutu kuuliza yale magumu yanayowaumiza wakulima,wafanyabiashara,watumishi wa umma wanaishia kugonga meza na kubeza yule anayewapinga bila kuwatetea kikamilifu wapiga kura wao.
 
Miongoni mwa mambo ninayoyaona kama hatari sana katika maisha ya watu ni " kubebwa na mfumo" badala ya kuandaa nao.

Watendaji wa Rais walio wengi wanaonekana kubebwa na mfumo na kwa maana hiyo utendaji wao hauakisi jona kwa moja kasi ya Mheshimiwa Rais.

Wananchi wengi wamejenga imani kubwa sana juu ya kasi ya utendaji wa Rais kuliko viongozi wao wanapokuwa nao mara kwa mara.

Jambo hili linaipa sifa nzuri CCM ila linaweza likawawekea mfumo ngumu na hatari sana wale wote wanaobebwa na mfumo kwenye uchaguzi ujao.

Ni vyema kiongozi kuwajibika kwa kuendana na mfumo na siyo kubebwa na mfumo kwa sababu kitakachokuwajibisha na kukuwekea mazingira mazuri ni jitihada zako za kuendana na mfumo na siyo kule kubebwa na mfumo.
ukosefu wa ajira , utekaji , kuondoa nyongeza ya mishahara , kula hela ya Tetemeko , kuua demokrasia na kuneemesha Chatto huo ndio utendaji ?
 
Eti kasi ya utendaji, propaganda za kishamba tu.
Kukataa ukweli haimaanishi haupo Mkuu....kama upo upo tu.
Yapo mazuri yanayoonekana waziwazi na ndiyo hayo yameoneshwa hapo udhaifu wa Kibinadamu kila mmoja anao.
 
Back
Top Bottom