Kashfa ya Ngono: Tigo/Ison Customer Care

Kashfa ya Ngono: Tigo/Ison Customer Care

wafanye kufunga cctv camera kwa hizo sehemu zote za ofisi. Bongo bado maje majengo mengi hayajawekwa hizi camera kwani huwa msaada mkubwa sana kiusalama.
 
Vyote unavyoongea na kuandika ni maneno uliyoambiwa na mdogo wako ... hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Ni tuhuma tu zisizo na mashiko, kama hao wadada wanadanganywa na 'Mhindi' kama ulivyosema na wanainama, wewe unataka jamaa afanyeje sasa

Wanahitaji elimu kiasi gani kujua uthubutu halali, elimu na bidii kazini ndio njia pekee ya uhakika kukua kiajira ... acha jamaa awashugulikie coz hamna namna.
Lisemwalo lipo kama halipo laja linajongea mm nafikili hatua za kulifutilia jambo hili ni muhimu sana
 
uwe unafkir kwa mapana mkuu!!
Hapa kuna harufu ya wivu kwa mujibu Wa mleta mada kwa sababu akuna aliyelazimishwa ni Kati ya wafanya ngono hao pili hao inaonekana ni wapenzi Na sio wafanyakazi wote wanaofanya hayo mambo hakuna kitakacho mpandisha MTU kazini zaidi ya juhudi zake ngono ina mwisho amshauri ndugu Yake aongeze bidii katika kazi
 
Hapa kuna harufu ya wivu kwa mujibu Wa mleta mada kwa sababu akuna aliyelazimishwa ni Kati ya wafanya ngono hao pili hao inaonekana ni wapenzi Na sio wafanyakazi wote wanaofanya hayo mambo hakuna kitakacho mpandisha MTU kazini zaidi ya juhudi zake ngono ina mwisho amshauri ndugu Yake aongeze bidii katika kazi
Kulea upuuzi km huo ipo cku hata wanaume mtalazimishwa tgo kisa unabembeleza kazi.amka mtanzania muda umefika
 
Mtu akisema watanzania ni wavivu na hawaajiriki anaonekana anatukana....... .hakuna work ethics kwa watanzania walio wengi..shame.
 
Habari ya asubuhi GT,

Ni siku mpya nyingine yenye asubuhi tulivu kabisa; lakini ni jambo ambalo nimeshindwa kulivumilia kukaa nalo moyoni imenilazimu kuwaletea hapa kwa lengo tu la kuonesha na kuujuza umma kuhusu tabia chafu inayofanywa na wafanyakazi mawakala wa kituo cha huduma kwa wateja waliopo ofisi za Tigo Dar es Salaam.

Jana jioni nikiwa nimepumzika nyumbani baada ya majukumu ya siku nzima, pembeni tukiwa tunapiga story na mdogo wangu alinieleza kwa masikitiko kwa kile kinachoendelea ofiisi za za Tigo za huduma kwa wateja.

Wafanyakazi hao kwa kushirikiana na wasimamizi wao (Team leaders) wamekuwa na tabia ya kuruhusu wafanyakazi hao kufanya ngono ndani ya ofisi.

Uchafu huu unafanyika wakati wa usiku na chumba kinachotumika ni boardroom ambayo wahusika wanaunda mission na team leaders then wanaruhusiwa kwenda boardroom iliyopo ofisini hapo na kutumia kwa kufanya uchafu wa namna hiyo, na mbaya zaidi ni kuwa wahusika hao ili wafanye uchafu wao wa ngono kwanza ili aonekane kwenye system kuwa yupo active anaweka kitu kinaitwa TL note ready one to one (ikiwa na maana kuwa, wahusika wanadanganya kwa kuswitch system as if wanakuwa na maongezi ya kupata feedback kutoka kwa team leaders wake.

Mbaya zaidi pia kashfa hii ya ngono zembe inafanywa na technisian wa kihindi anaefanya kazi hapo (kwa jina namuhifadhi) yeye anachokifanya hufika hapo usiku kuanzia saa mbili na kujifanya anafanya uchunguzi wa system as if ipo na tatizo, imethibitika kuwa technisian huyu hufanya ngono na mabinti/wanawake kwa kuwahadaa kwa kuwabadilishia target ambayo anatakiwa mfanyakazi kufikia kwa siku endapo kama hajafikisha.

Uchafu huu unaofanywa na technician huyo hufanyia sehemu ya wazi kabisa ya pale nje ya ofsi ambayo ni sehemu ya parking ya magari ya ofisi ya huduma kwa wateja. Imethibitishwa kuwa hata walinzi wameshalalamika sana juu ya uchafu unaofanywa na technisian huyo sehemu ya wazi ambayo ni kinyume na utamaduni wa mtanzania.

Na mpaka natoa taarifa hii; kuna wahusikwa wamefahamika japo sio wote na management haijachukua uamuzi wowote ule ukiachia kwamba team leader mmoja wa kike anaeshiriki ngono zembe na mfanyakazi wa kiume wa huduma kwa wateja alipohojiwa kwa kuhusika na uchafu huo alisema" ebu niacheni kama K*MA ni yangu nyie inawauma nni?).

Uongozi wa Tigo makao makuu ninawaomba muingilie kati suala hili; linahatarisha sana maisha ya vijana wetu, wake zetu, dada zetu, kwani wanalazimishwa kufanya hivyo kwa kuwa wana shida ya kuongezewa promotion kazini, lakini tunaomba huyo muhindi technisian mumuondoe kwani anadharirisha dada zetu kwa kufanya nao ngono nje ya ofisi sehemu ya parking ya magari kwa wakati wa usiku.

Nawatakia Asubuhi njema.
Mkuu nafikiri ulikuwa unataka kuonyesha post yako ndefu umeandika mpaka umejichanganya mara boardroom harafu kwenye parking,sasa lipi sahihi?
 
Wivu tu akuna kingine acha chuki Na wafanyakazi wenzako data taratibu za kupeleka malalamiko kiofisi kuna HR unaweza kumweleza kero zako
Sasa kama na huyo nae ndiye anayeliwa hapo parking kwenye area itakuwa kesi ya nyani umempelekea ngedere.
 
Utajua tu sehemu kama hii. Mtu analipwa laki 2 na sabini elfu unategemea ataishije mjini? Kwa wanaume ndo O. T yao. Wanawake wanaongeza kipato maana ukimchukua ujue kasave hela ya chakula hata usipomulipa. Kutatua tatizo ni kulipa vizuri na ndipo utapata waadilifu na watendaji wazuri. Wabovu wataondoka. Kampun gani kila mwezi unatrain watu wapya?


upo sahihi kabisa kaka, nami hilo nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara juu ya kampuni hiyo kutrain watu kila mwezi na kuwaajili ni kuwalipa laki mbili na 70
 
Mleta mada lazima ana maslah binafsi ndani ya hili, kwanza anasema kamchezo kanafanyika board room, then kwenye parking, why two unrelated positions??? Ya ngoswe mwachie ngoswe


tuliza likichwa lako soma nilichokiandika utaelewa nilichosema; matyako ya shangazi yako
 
Mtoa mada muongo na mnafiki, itakua umetimuliwa kazi au uliomba kazi ukakosa.


wewe matako kweli wewe; tambua sifanyi kazi hapo na qualification zangu ni zaidi ya kazi hiyo, na sijawahi timuliwa kazi sehemu yeyote ili; ukitaka njoo pm nikuoneshe cv yangu
 
Back
Top Bottom