Kashfa ya Ngono: Tigo/Ison Customer Care

Kashfa ya Ngono: Tigo/Ison Customer Care

Nadhani tungeijadili kama Great Thinkers,
Tuweke utani kando,

Je, ni sawa kufanya ngono sehemu ya kazi?
Imagine umefungua biashara yako (mf. Library ya Cd) then mfanyakazi wako akawa anaitumia kufanya ngono usiku, je ni sawa??

Au una mdada wa kazi nyumbani then unarudi unakuta anafanywa sebuleni kwako, je utawapita kwa madai kua K ni yake??

Au umemkuta mdogo wako, dada ako, aunt yako kainamishwa kwenye parking za magari halfu pembeni kuna walinzi wanakunywa kahawa na wanaona mchezo mzima, je utasema K ni yake??

Imagine mdogo wako kamaliza shule juzi anaenda kuomba kazi jioni arudi anakwambia HR amemwambia ampe K ili apate kazi, je utamruhusu aende kwa kua ndio hali halisi???

Think, Think, Think.

TABIA HIYO YA KAMPUNI YA TIGO SIO NZURI WAHUSIKA WANAPASA KUFATILIA KWA MAKINI.
Hahaa daah hapo tu ndo watu wanafeli kujiuliza maswali kama haya...
 
Tanzania ngono makazini ni jipu kila sehemu. ....wengine wanajifanya kukemea humu wakati ni wazoefu wa Kukwichi kwichii na Mabinti wa kazi. !
 
Ilo swala la kawaida hata hapa kazini Petu TeamLeader wetu ana mtaka kijisichana Fulani hivii.
Life is not fair!
 
ww ukashamruhusu mkeo kufanya kszi bac ujue mambo hayo nikawaida lazima uyakubali kwani kazini kunavishawishi vingi sana sasa hayo ndio matokeo yake na sio ofisi za tigo ila maeneo mengi ya kazi mambo hayo ndio kipaumbele.
 
Hao askari nao wanatizama tu? Kwa nini wasiwakamate? Mjadala ulioletwa bado unamaswali mengi. Huyo Mhindi kama wanamjua ndio tabia yake waweke mtego, au uongozi unamuogopa.
 
Hahaaa ni sheedah nyingine hii, ndo maana ukipiga simu customer care usiku hawapokei, wanakua kwenye dozi
 
Nadhani tungeijadili kama Great Thinkers,
Tuweke utani kando,

Je, ni sawa kufanya ngono sehemu ya kazi?
Imagine umefungua biashara yako (mf. Library ya Cd) then mfanyakazi wako akawa anaitumia kufanya ngono usiku, je ni sawa??

Au una mdada wa kazi nyumbani then unarudi unakuta anafanywa sebuleni kwako, je utawapita kwa madai kua K ni yake??

Au umemkuta mdogo wako, dada ako, aunt yako kainamishwa kwenye parking za magari halfu pembeni kuna walinzi wanakunywa kahawa na wanaona mchezo mzima, je utasema K ni yake??

Imagine mdogo wako kamaliza shule juzi anaenda kuomba kazi jioni arudi anakwambia HR amemwambia ampe K ili apate kazi, je utamruhusu aende kwa kua ndio hali halisi???

Think, Think, Think.

TABIA HIYO YA KAMPUNI YA TIGO SIO NZURI WAHUSIKA WANAPASA KUFATILIA KWA MAKINI.
nawakemeaa tigoooo wooooteeeee katikaaaaa jinaaaaaaa la Yesuuuuuuuuuu washindweeee
 
Vyote unavyoongea na kuandika ni maneno uliyoambiwa na mdogo wako ... hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Ni tuhuma tu zisizo na mashiko, kama hao wadada wanadanganywa na 'Mhindi' kama ulivyosema na wanainama, wewe unataka jamaa afanyeje sasa

Wanahitaji elimu kiasi gani kujua uthubutu halali, elimu na bidii kazini ndio njia pekee ya uhakika kukua kiajira ... acha jamaa awashugulikie coz hamna namna.
Kweli kaka
Vyote unavyoongea na kuandika ni maneno uliyoambiwa na mdogo wako ... hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Ni tuhuma tu zisizo na mashiko, kama hao wadada wanadanganywa na 'Mhindi' kama ulivyosema na wanainama, wewe unataka jamaa afanyeje sasa

Wanahitaji elimu kiasi gani kujua uthubutu halali, elimu na bidii kazini ndio njia pekee ya uhakika kukua kiajira ... acha jamaa awashugulikie coz hamna namna.
Kweli kaka namnukuu mugabe aliwahi sema "When God gives you beauty without brains private parts suffer the most"
 
Tigo, no wonder hata hilo jina linaashiria ngono mbaya, zembe.
Cha kufanya ni kuachana na hufuma zakembaya, zembe.
 
Yani we umeandika majungu tu, story umehadithiwa na ww ukaamua kuihadithia jf, namna hii hatuwez kuendelea
 
Mtoa mada inaonekana una demu anayefanya kazi ofisi hizo kwa hiyo inakuuma,unajaribu kutafuta huruma za wana jf.
 
Ngono kazini hasa za shift za usiku ni kitu cha kibinadamu na kawaida hata US na Europe watu wanabanduana tuu. Cha muhimu kinga na makubaliano
 
wawekezaji at work! Hawalipi kodi, wanalipa mishahara kiduchu, wanatumia madaraka yao kupata ngono, wanawanyanyasa wafanyakazi kijinsia, ...
Utimwa unakuja kwa kasi, ila kuna maduwanzi hawaoni.
 
Back
Top Bottom