slowpancha
Senior Member
- Jul 27, 2014
- 184
- 102
Tigo wala Tigo, au?
je ikiwa mkeo ukasikia naye ni mmojawapo wanaoinamishwa parking utasema hayo?Binafsi sijaona tatizo ... as long as kuna makubaliano na wahusika haiwasumbui. Ngono ni suala binafsi sana, si rahisi kuujua ukweli wote .....
Atafungua band itakuwa inapiga kila ijumaa.Je huyo mhindi kama ana ngoma itakuwaje??
je ikiwa mkeo ukasikia naye ni mmojawapo wanaoinamishwa parking utasema hayo?
duuuuh hii bongo ko unafurahia ndugu yako afanyiwe hayo TUSIPENDE KUCHUKULIA KILA KITU URAHISI hapo kuna mapenzi zaidi ya pesa tena kuinamishana na usilisahau hili KUJUA KITU SI LAZIMA UONE kusikia kuambiwa au kuona mkuu tuwaonee huruma hawa wadogo zetu dada zetu ndugu zetu not fair hiyo
Unaposema 'ndugu' zangu una maanisha nini? Acha ubaguzi wa rangi ... bila kujali itikadi ya mtu, unapomtuhumu mtu kitu na zaidi kinachohusu suala la ngono/ufuska ni vizuri ukawa na ushahidi wa kutosha na si habari ya kuambiwa na mtu ambaye naye kaambiwa.