Kashfa ya Ngono: Tigo/Ison Customer Care

Ngambako

JF-Expert Member
Dec 27, 2013
315
264
Habari ya asubuhi GT,

Ni siku mpya nyingine yenye asubuhi tulivu kabisa; lakini ni jambo ambalo nimeshindwa kulivumilia kukaa nalo moyoni imenilazimu kuwaletea hapa kwa lengo tu la kuonesha na kuujuza umma kuhusu tabia chafu inayofanywa na wafanyakazi mawakala wa kituo cha huduma kwa wateja waliopo ofisi za Tigo Dar es Salaam.

Jana jioni nikiwa nimepumzika nyumbani baada ya majukumu ya siku nzima, pembeni tukiwa tunapiga story na mdogo wangu alinieleza kwa masikitiko kwa kile kinachoendelea ofiisi za za Tigo za huduma kwa wateja.

Wafanyakazi hao kwa kushirikiana na wasimamizi wao (Team leaders) wamekuwa na tabia ya kuruhusu wafanyakazi hao kufanya ngono ndani ya ofisi.

Uchafu huu unafanyika wakati wa usiku na chumba kinachotumika ni boardroom ambayo wahusika wanaunda mission na team leaders then wanaruhusiwa kwenda boardroom iliyopo ofisini hapo na kutumia kwa kufanya uchafu wa namna hiyo, na mbaya zaidi ni kuwa wahusika hao ili wafanye uchafu wao wa ngono kwanza ili aonekane kwenye system kuwa yupo active anaweka kitu kinaitwa TL note ready one to one (ikiwa na maana kuwa, wahusika wanadanganya kwa kuswitch system as if wanakuwa na maongezi ya kupata feedback kutoka kwa team leaders wake.

Mbaya zaidi pia kashfa hii ya ngono zembe inafanywa na technisian wa kihindi anaefanya kazi hapo (kwa jina namuhifadhi) yeye anachokifanya hufika hapo usiku kuanzia saa mbili na kujifanya anafanya uchunguzi wa system as if ipo na tatizo, imethibitika kuwa technisian huyu hufanya ngono na mabinti/wanawake kwa kuwahadaa kwa kuwabadilishia target ambayo anatakiwa mfanyakazi kufikia kwa siku endapo kama hajafikisha.

Uchafu huu unaofanywa na technician huyo hufanyia sehemu ya wazi kabisa ya pale nje ya ofsi ambayo ni sehemu ya parking ya magari ya ofisi ya huduma kwa wateja. Imethibitishwa kuwa hata walinzi wameshalalamika sana juu ya uchafu unaofanywa na technisian huyo sehemu ya wazi ambayo ni kinyume na utamaduni wa mtanzania.

Na mpaka natoa taarifa hii; kuna wahusikwa wamefahamika japo sio wote na management haijachukua uamuzi wowote ule ukiachia kwamba team leader mmoja wa kike anaeshiriki ngono zembe na mfanyakazi wa kiume wa huduma kwa wateja alipohojiwa kwa kuhusika na uchafu huo alisema" ebu niacheni kama K*MA ni yangu nyie inawauma nni?).

Uongozi wa Tigo makao makuu ninawaomba muingilie kati suala hili; linahatarisha sana maisha ya vijana wetu, wake zetu, dada zetu, kwani wanalazimishwa kufanya hivyo kwa kuwa wana shida ya kuongezewa promotion kazini, lakini tunaomba huyo muhindi technisian mumuondoe kwani anadharirisha dada zetu kwa kufanya nao ngono nje ya ofisi sehemu ya parking ya magari kwa wakati wa usiku.

Nawatakia Asubuhi njema.
 
Utajua tu sehemu kama hii. Mtu analipwa laki 2 na sabini elfu unategemea ataishije mjini? Kwa wanaume ndo O. T yao. Wanawake wanaongeza kipato maana ukimchukua ujue kasave hela ya chakula hata usipomulipa. Kutatua tatizo ni kulipa vizuri na ndipo utapata waadilifu na watendaji wazuri. Wabovu wataondoka. Kampun gani kila mwezi unatrain watu wapya?
 
Aibu sna hvi watz tutaendelea lini? rushwa kila sehemu mpaka ngono?aibu sna.ndyo mana ufanisi ktk kazi ni zero
 
Kwa ushabiki huu kuna siku hao wahindi watawafanyisha ngono na mbwa na kwa shida zenu na nyie mtakuja hapa kushabikia uzalilishaji kama mazuzu

Kwani wanalazimishwa?
hawajui haki ya mfanyakazi?
kwanini wasiwashitaki na wanaushahidi?
Hayo ni makubaliano yao wote wameridhia
 
Kwa kitendo wanachofanya ni kichafu na cha aibu, mueleze huyo ndugu yaiko aandike barua ya siri, au atunge email ya uongo atume kwa maboss wote, masupervisor woote, mpaka kwa masecretary na hiyo email ataje majina ya staff wote wafanye uchunguzi, Hili swala tungemuhusisha na Lemutuz akaenda kuwapa somo jinsi ya kujitoa katika mawazo fukara hao staff tigo, nadhani wanaamini kufika malengo ni kutumia kyuma!! wakileta ubishi Le mutuz huyo huyo aawachie mabox 2 ya Salama condom kila week kunusuru maisha yao. maana hao ni watu wazima ambao wameshakata tamaa, hata wakipewa onyo hapo kazini kama wameyapenda wataenda fanya huo uchafu nje ya hapo.
 
Huyo muhindi afatiliwe ikigundulika mtafutieni tiketi ya kurud new delhi wik ijayo,hao staff ikigundulika muhindi amewachezesha songi basi wapewe onyo kali na adhabu yao wapewe fagio na sabuni wasafishe hiyo parking walokuwa wakifanyia huo uchafu
 
Nadhani tungeijadili kama Great Thinkers,
Tuweke utani kando,

Je, ni sawa kufanya ngono sehemu ya kazi?
Imagine umefungua biashara yako (mf. Library ya Cd) then mfanyakazi wako akawa anaitumia kufanya ngono usiku, je ni sawa??

Au una mdada wa kazi nyumbani then unarudi unakuta anafanywa sebuleni kwako, je utawapita kwa madai kua K ni yake??

Au umemkuta mdogo wako, dada ako, aunt yako kainamishwa kwenye parking za magari halfu pembeni kuna walinzi wanakunywa kahawa na wanaona mchezo mzima, je utasema K ni yake??

Imagine mdogo wako kamaliza shule juzi anaenda kuomba kazi jioni arudi anakwambia HR amemwambia ampe K ili apate kazi, je utamruhusu aende kwa kua ndio hali halisi???

Think, Think, Think.

TABIA HIYO YA KAMPUNI YA TIGO SIO NZURI WAHUSIKA WANAPASA KUFATILIA KWA MAKINI.
 
Wivu tu akuna kingine acha chuki Na wafanyakazi wenzako data taratibu za kupeleka malalamiko kiofisi kuna HR unaweza kumweleza kero zako
km hyo hr nayy niwalewale ataipeleka wapi?Hi ndyo sehemu sahih yakuleta ili hata mabosi wao waione.afu kuna wivu gani hapo kwamleta kero ngono ktk kazi inaruhusiwa?
 
wewe hufanyi kazi hapo inakuuma nini chief. ni watu wazima wanafanya hivyo. wacha wagongane
kwa mtazamo wako hayo yanayofanyika hapo ni halali ? je tabia kama hii ikitapakaa sehemu nyingine za kazi wewe utabaki salama ? hivi unajua kwanini ukimwi hauishi ?
 
Nadhani tungeijadili kama Great Thinkers,
Tuweke utani kando,

Je, ni sawa kufanya ngono sehemu ya kazi?
Imagine umefungua biashara yako (mf. Library ya Cd) then mfanyakazi wako akawa anaitumia kufanya ngono usiku, je ni sawa??

Au una mdada wa kazi nyumbani then unarudi unakuta anafanywa sebuleni kwako, je utawapita kwa madai kua K ni yake??

Au umemkuta mdogo wako, dada ako, aunt yako kainamishwa kwenye parking za magari halfu pembeni kuna walinzi wanakunywa kahawa na wanaona mchezo mzima, je utasema K ni yake??

Imagine mdogo wako kamaliza shule juzi anaenda kuomba kazi jioni arudi anakwambia HR amemwambia ampe K ili apate kazi, je utamruhusu aende kwa kua ndio hali halisi???

Think, Think, Think.

TABIA HIYO YA KAMPUNI YA TIGO SIO NZURI WAHUSIKA WANAPASA KUFATILIA KWA MAKINI.
Cc rubii
 
Binafsi sijaona tatizo ... as long as kuna makubaliano na wahusika haiwasumbui. Ngono ni suala binafsi sana, si rahisi kuujua ukweli wote .....
 
Genye zimewakutia hapo hapo hazikusubiri mpaka wakienda kwa madanguro
Kwahiyo wawe km mbwa sababu hizo ndiyo tabia za hao wanyama. Huu ni udhalilishaji wa hao mabinti wanafanya hivyo kulinda kibarua chao na sio kingine.

Je, hiyo ni haki? Je, mikataba ya kazi yao ndiyo iko hivyo? Kumbuka hao wahindi c watu ni zaidi ya wanyama nawafahamu nimefanya nao kazi. Wao mtu mweusi wanamfananisha na mbwa ndiyo maana wanafanya nao mapenzi hadharani. Embu jaribu kwao uone mzki wake.

Tigo km kampuni kubwa ilipaswa kuwa mfano kwa makampuni mengne kwa kulinda haki za wafanyakazi wake.

Think big ndugu
 
Binafsi sijaona tatizo ... as long as kuna makubaliano na wahusika haiwasumbui. Ngono ni suala binafsi sana, si rahisi kuujua ukweli wote .....
TATIZO IPO SNA hapo ngono imetumika km rushwa yakulinda vibarua vyao.jaribu kufikiri hata kidogo huyo jamaa anafanya ngono na wanawake tofouti tofouti afu hadharani huo cyo uzalilishaji?mikataba ya kaz ipo hvyo?kumbuka tigo nikampuni kubwa hatukutegemea uchafu km huo
 
kwahyo wawe km maumbwa sbb hzo ndyo tabia za hao wanyama.hu ni uzalilishaji wahao mabinti wanafanya hvyo kulinda kibarua yao na c kingne.je hyo ni haki je mikataba ya kazi yao ndyo iko hvxo?kumbuka hao wahndi c watu ni zaidi yawanxama nawafahamu nimefanyao kazi.wao mtu mweusi wanamfananisha na mbwa ndyo mana wanafanyanao mapenz hadharani. embu jaribu kwao uone mzki wake.tgo km kampuni kubwa ilipaswa kuwa mfano kwamakampuni mengne kwakulinda haki za wafanyakaz wake.thnk big ndugu


je ingekuwa wewe unaombwa utoe huko kulinda kibarua ungetoa? au ungefanyaje?
 
TATIZO IPO SNA hapo ngono imetumika km rushwa yakulinda vibarua vyao.jaribu kufikiri hata kidogo huyo jamaa anafanya ngono na wanawake tofouti tofouti afu hadharani huo cyo uzalilishaji?mikataba ya kaz ipo hvyo?kumbuka tigo nikampuni kubwa hatukutegemea uchafu km huo

Vyote unavyoongea na kuandika ni maneno uliyoambiwa na mdogo wako ... hapo ndipo tatizo linapoanzia!! Ni tuhuma tu zisizo na mashiko, kama hao wadada wanadanganywa na 'Mhindi' kama ulivyosema na wanainama, wewe unataka jamaa afanyeje sasa

Wanahitaji elimu kiasi gani kujua uthubutu halali, elimu na bidii kazini ndio njia pekee ya uhakika kukua kiajira ... acha jamaa awashugulikie coz hamna namna.
 
Back
Top Bottom