Ukitaka kujua kama ule mpango wa kusajili numbe ni danganya toto basi nakuwekea number ya mteja aitwaye 'FREEMASON SHETANI' kama utaratibu ulivyo katika kusajili number ni lazima mteja awasilishe vitambulisho vyake nnk,sasa sijui huyo mteja alitoa wapi vitambulisho,hii ni aibu kubwa kwa vodacom. kama unataka kujua wewe tafuta usajili wa mteja mwenye number hii 0768 36 04 97
karibu
karibu