Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,778
- 103,625
wewe ni mtu wa wapi? hivi vimemo ndo vinaua nchi kama Dau alikataa vimemo basi namuona ni shujaa! Na kama amefukuzwa kwa vile alinyima binamu wa JPM msaada basi ni ndo inavyotakiwa hatutaki unduguzation!Umemjibu vema mkuu,wanadhani dau ni mtakatifu,huyu dau ni madharau yalimzidia ange keep low profile wasingemshugulikia ila aliona mtu pekee ni jk na kujibu hovyohovyo hata waziri wake alikuwa anamdharau hamshirikishi mambo ya nssf na hata pm pinda hakumjali,jpm ndo kabisaaaa nakumbuka kuna insidence binamu wa jpm alieda na kimemo amsaidie ishu fulani ila alivyojua tu ni kafiri alimnyima msaada,na ile ishu ya daraja na majibu ya kunya alopata toka kwa mzee wa azimio,dau dauuuuu ole wakooo