Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
Na sasa hivi wanachama zaidi ya elf 6 washaondoa mafao yao kwenda PSPF na mifuko mingine
Hivi mafao huwa yanahamishika?
Na sasa hivi wanachama zaidi ya elf 6 washaondoa mafao yao kwenda PSPF na mifuko mingine
Hahaaaa kwa taarifa tu mbwete ali mu outsmart matesa ndo kamfanyia zengwe akaondolewa pale,yule mama alifoji cheti hana hata digrii abbas,na ni moja ya sababu za kusimamishwa kwakeDominic Mbwette aka Mr Fake Degrees
Punguza hasiraKwa chuki zenu mmefikia kudhani hii nchi ni yenu peke yenu
Hilo neno aunt hapo umekusudia nini?H
Hakuna chuki ktk ukweli aunt,dau aliharibu na mbaya zaidi alidharau kila mtu,hebu fuatilia ujue alivyomtoa singili pale azania benki kisa tu kafiri
Kweli hata Mimi ntakuuliza ili kujiridhishaSasa hivi wameamua kuacha ku invest kwenye barabara na umeme ambao walikuwa wanapata faida kwa asilimia 300 na kwenda ku invest kwenye mabwawa ya samaki
From infrastructure investments to exotic fishtanks
Usiniulize Corporate Plan yao iko wapi
Ipo siku tutaheshimiana tuu.Punguza hasira
Sasa hivi wameamua kuacha ku invest kwenye barabara na umeme ambao walikuwa wanapata faida kwa asilimia 300 na kwenda ku invest kwenye mabwawa ya samaki
From infrastructure investments to exotic fishtanks
Usiniulize Corporate Plan yao iko wapi
si hivyo tuu
Hugo anayekaimu naffs ya Chiiku Matessa anaitwa Dominic Mbwete ambaye ana degrees mobile ambazo ni fake na kaka yake yuko chuo kikuuu cha Dar es salaam ambaye ni mtu wa karibu sana na mkurugenzi wa sasa wa NSSF alimwombea arudishwe Dar na kupewa kazi ya kuhakiki wenye degrees feki
Basically Mwenye degrees feki ana hakiki mwenzake wenye vyeti feki/wafanyakazi hewa
Mkuu hata anajua kaandika nini? Mwenyewe hajui halafu anaondoka asichokijuaHivi mafao huwa yanahamishika?
Mkuu matesa na mbwete yupi ana degree fake,huyo chiku aliombwa apeleke vyeti tangu aajiriwe to date hajapeleka
Kapitie tena vyeti via Mbwette kisha urudi tuongeeHahaaaa kwa taarifa tu mbwete ali mu outsmart matesa ndo kamfanyia zengwe akaondolewa pale,yule mama alifoji cheti hana hata digrii abbas,na ni moja ya sababu za kusimamishwa kwake
naona kuna mkuu hapo juu kasema anangojea kwenda kisutu. sijui ndio nchi gani.Kwani huyo dau kwa sasa ni balozi wa nchi gani?
Tuanjuaje ni ukweli? Mbona hatujapata uthibitisho? Hayo aliyosema ni uchunguzi wake binafsi au ni taarifa ya chombo kipi cha uchunguzi?Ivamiwe vipi mkuu si mjumbe kaeleza ya ukweli ukiwa na hoja mbishie,ila nssf ni majanga ukienda ofisi ya morogoro siku ya ijumaa saa sita hupati huduma ukiuliza wako wapi staff unaambiwa wameenda msikitini,ukidodosa utaambiwa jinsi dau alivyoisilimu nssf, ni majankaa,
Yeuwii. ...Mwenye Enzi Mungu aitete nchi yetu milele yoteMtakumbuka kuwa NSSF imegubikwa na ufisadi mkubwa uliopelekea Dau kuondolewa na kupewa ubalozi wakati akisubiri kupelekwa Kisutu na pia wakurugenzi na mameneja kusimamishwa.
Katika kituko kipya ni Mkurugenzi wa utawala kuajiri dereva ambaye hajui kuendesha gari na alipopelekwa Shinyanga alishindwa kuendesha gari hivyo kurudishwa Dar, baade Chiku Matesa alimpangia kazi nyigine NSSF Ilala.
Haitoshi huyu Matesa aliajiri office attendant ofisi ya Kibaha (darasa la saba) na baade kumpangia kazi ya kupanga stoo kazi ambayo hufanywa na Idara ya uhasibu, bila aibu aliajiri wafanyakazi 8 na kupelekwa NSSF Tanga (wote std seven) kama wahudumu na baadae kuwapangia kazi zingine, hao ni pamoja na ma house girl wake.
Mungu ibariki Tanzania.