HNIC
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 1,898
- 2,199
Wakuu nina hii ya kashfa ya dollar billion 60 ambayo naamini kuwa si chini ya mawaziri 6 watafukuzwa kazi na maofisa zaidi ya 80 watafunguliwa mashtaka na serikali hii ya Rais Magufuli isivyopenda mambo ya ufisadi.
Naamini hata kunyongwa wengine watanyongwa kwani hawa watu kesi pekee inayoweza kutumika ni ya Uhaini au working against the State and National interest ya nchi hii
Sasa naona nishai kuweka vitu maana mko kwenye good mood na sitakuwa kuharibu moods zenu na leo ni siku ya Uhuru wa Nchi yetu tukufu.
Sasa naelewa kwa nini Mheshimiwa Rais alisema Tumwombee...lakini mimi haya mambo ya kuomba kwa mungu etc mimi siyaamini la naomba asaidiwe tuuu
Naamini hata kunyongwa wengine watanyongwa kwani hawa watu kesi pekee inayoweza kutumika ni ya Uhaini au working against the State and National interest ya nchi hii
Sasa naona nishai kuweka vitu maana mko kwenye good mood na sitakuwa kuharibu moods zenu na leo ni siku ya Uhuru wa Nchi yetu tukufu.
Sasa naelewa kwa nini Mheshimiwa Rais alisema Tumwombee...lakini mimi haya mambo ya kuomba kwa mungu etc mimi siyaamini la naomba asaidiwe tuuu