Kashfa mpya ya Mradi wa Dollar Billion 60

Kashfa mpya ya Mradi wa Dollar Billion 60

kale kaskendo ka m10,10 kwa wabunge wa CCM nako kaliishia wapi ?
 
Billioni 60$ itakua za zimbabwe hizo istoshe ufisadi kwa chama chakavu ni sawa na uji na mgonjwa
 
Labda usd 60milions au Bilioni 60 Tsh na sio usd 60billions .
 
kuna watu hesabu kwao zinawapitia kushoto, hela hizo zilikuwa wapi?
 
Hivi Unazijua USD "$" bilion 60 wewe ??? Au unaandika andika tuu hapa ??? Are you serious guy ? kwa serikali yetu TANZANIA au umekosea ukafananisha na sehemu ya Australia maana kuna kisiwa ambacho ni sehemu ya Austalia kinaitwa TASMANIA ukajua TANZANIA???.......kama huna cha kuandika huku embu jaribu ku google habari za kina wema sepetu,ali kiba, snura ,na kina shilole huko ndiko kunakufaaa ....Etiiii $ Bilion 60 ????????@## unaleta comedy hapa sio ? kampige ...kampige fix demu wako akuone wa maana unajua mambo na mjanja
 
Kuhusu ufisadi huu sina uhakika lakini kuhusu thamani ya pesa ya USD billion 60 sio jambo la ajabu coz ufisadi unaweza kufanyika kwenye resources za taifa kama vile nishati,maliasili na madini na kwenda kuziuza nje.Hivi kwamfano watu wametorosha kimagendo almasi,dhahabu na pembe za ndovu kwakiwango kikubwa sana kwa mda mrefu haiwezi kufika thamani ya hiyo billion 60?
NB;Acheni kukariri na fikirieni nje ya boksi,bajeti inawakilisha hela ambazo serikali inazipata kupitia vyanzo ambavyo imevibuni kwa njia ya kodi na wala haimaanishi kwamba ndio mwisho wa pato la serikali ambalo inaweza kulikusanya kupitia kodi.Mafisadi watatu wanaweza kua na pesa kuliko bajeti ya serikali ya miaka hata mitano
 
My take
Mapovu yasiwatoke wanajamvi, nani alishawahi kufuatilia scandals za rushwa na ufisadi Kenya? Inasemekana wakubwa walikua wanapiga mpka 50% ya Fedha za miradi ya maendeleo kipindi cha Kibaki.

Hebu piga picha... Miaka ya nyuma kidogo UN ilitoa report kwamba Tanzania inaweza kuendeshwa kwa kodi pekee yake (nahisi ndicho anachofanya mheshimiwa muda huu) ambapo kwa sasa "focus" ni kuchukua 16.8% ya pato zima la taifa. mathalani mwaka wa fedha 2014/15 pamoja na mianya yote ya wakwepa kodi, TRA walikusanya $6 billion.

Vipi kuhusu hizi tetesi?...ikiwa kama ufisadi huu ulifanyika ndani ya miaka 11 iliyopita (kuanzia mwaka wa uchaguzi 2005),kwa wastani wizi huu ulikua $6billion kwa mwaka!!! Ni kiasi kikubwa sana kwa uchumi wetu. Lakini kuna kamsemo tulikua nako miaka ya hapo nyuma "nchi ni masikini (haina fedha sio rasilimali) lakini watu wake ni matajiri"

Mwenyewe siamini kama hicho kiasi kinafika, lakini kila kitu kinawezekana. Ikiwa kila scandal ya wizi ndani ya miaka kumi imekadiliwa na kujumlishwa basi hakika itafika, mfano exportation ya twiga na wanyama poli wengine, ukwapaji wa kodi bandalini (huwa siamini kama yale magari binafsi ya ocean road- dar es salaam yalilipiwa kodi halisi wakati yanaingia nchini). Katika hizo ongezea Richmond,Escrow na rushwa zingine zote naamini itakaribia $60billion. Lakini bado siamini.

Angalizo: unless mwenye uzi alimaanisha $60 millions, au TZS 60 billions
 
Hebu kuwa specific mkuu!!! Unaweza kua shujaa wa karne hii kwa kuokoa uchumi na maisha ya mamilioni ya watanzania!!!Go ahead and help Mr President to get to the roots of this scandal!!!
Mods: naomba hapo isomeke : Mradi wa dollar bilioni 60:

kuu nina hii ya kashfa ya dollar billion 60 ambayo naamini kuwa si chini ya mawaziri 6 watafukuzwa kazi na maofisa zaidi ya 80 watafunguliwa mashtaka na serikali hii ya Rais Magufuli isivyopenda mambo ya ufisadi naamini hata kunyongwa wengine watanyongwa kwani hawa watu kesi pekee inayoweza kutumika ni ya Uhaini au working against the State and National interest ya nchi hii

Sasa naona nishai kuweka vitu maana mko kwenye good mood na sitakuwa kuharibu moods zenu na leo ni siku ya Uhuru wa Nchi yetu tukufu

Hivyo nimeona niwaweke stand by tuu na kuna uwezekano mkubwa kuwa nikapotea baada ya uzi huu hivyo mwenye uwezo wa ku save a save tuu hii thread.

Sasa naelewa kwa nini Mheshimiwa Rais alisema Tumwombee...lakini mimi haya mambo ya kuomba kwa mungu etc mimi siyaamini la naomba asaidiwe tuuu
 
Jamaa kasema pesa za mradi.yaweza kuwa




swissme
 
Jamaa katupa jiwe gizani, akapotea kama alivyosema na kuwaacha mnajadili HEWA!!
 
Endeleeni kupinga.ila inawezekana kukawa na ukweli.
Mleta mada siku zote ni mtu makini na wengine katanua mawazo yetu kwa thread zake nyingi zenye kina ambazo unapata historical perceptive in depth and the logic of current events kupitia kwakwe.

Binafsi naweza sema sina jeuri ya kubeza tamko la HNIC at anytime kwanza na m-rate highly on this forum lakini the sum is just too much without explanations.
 
Mods: naomba hapo isomeke : Mradi wa dollar bilioni 60:

kuu nina hii ya kashfa ya dollar billion 60 ambayo naamini kuwa si chini ya mawaziri 6 watafukuzwa kazi na maofisa zaidi ya 80 watafunguliwa mashtaka na serikali hii ya Rais Magufuli isivyopenda mambo ya ufisadi naamini hata kunyongwa wengine watanyongwa kwani hawa watu kesi pekee inayoweza kutumika ni ya Uhaini au working against the State and National interest ya nchi hii

Sasa naona nishai kuweka vitu maana mko kwenye good mood na sitakuwa kuharibu moods zenu na leo ni siku ya Uhuru wa Nchi yetu tukufu

Hivyo nimeona niwaweke stand by tuu na kuna uwezekano mkubwa kuwa nikapotea baada ya uzi huu hivyo mwenye uwezo wa ku save a save tuu hii thread.

Sasa naelewa kwa nini Mheshimiwa Rais alisema Tumwombee...lakini mimi haya mambo ya kuomba kwa mungu etc mimi siyaamini la naomba asaidiwe tuuu
DOLLA BILLION 60.........? TEH TEH.....
 
Mods: naomba hapo isomeke : Mradi wa dollar bilioni 60:

kuu nina hii ya kashfa ya dollar billion 60 ambayo naamini kuwa si chini ya mawaziri 6 watafukuzwa kazi na maofisa zaidi ya 80 watafunguliwa mashtaka na serikali hii ya Rais Magufuli isivyopenda mambo ya ufisadi naamini hata kunyongwa wengine watanyongwa kwani hawa watu kesi pekee inayoweza kutumika ni ya Uhaini au working against the State and National interest ya nchi hii

Sasa naona nishai kuweka vitu maana mko kwenye good mood na sitakuwa kuharibu moods zenu na leo ni siku ya Uhuru wa Nchi yetu tukufu

Hivyo nimeona niwaweke stand by tuu na kuna uwezekano mkubwa kuwa nikapotea baada ya uzi huu hivyo mwenye uwezo wa ku save a save tuu hii thread.

Sasa naelewa kwa nini Mheshimiwa Rais alisema Tumwombee...lakini mimi haya mambo ya kuomba kwa mungu etc mimi siyaamini la naomba asaidiwe tuuu

Huyu jamaa ni muongo sana
 
Nadhani wewe unaandikia Magazeti ya Ijumaa weekenda ndio style zao...heading zao na kilichopo ndani ni mbingu na nchi
 
Dollare hizi hizi

Walibeba kwenye makontena au mifuko
 
Hesabu ni hanga la taifa! Dola bilioni 60! Hivi unajua pato letu la Taifa kwa mwaka ni kiasi gani?!
 
Back
Top Bottom