PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Mamlaka hiyo ya vitambulisho vya uraia {nida}imelalamikia kuwapo kwa watu ambao sio raia wa tanzania wanaomiliki vitambulisho vya kupigia kura.kitu ambacho kinapelekea zoezi hilo kuwa gumu
watu hao wametambulika katika zoezi linaloendelea sasahivi la kuandikisha watanzania kwaajili ya kupata vitambulisho vya uraia.
Chanzo:itv habari.
watu hao wametambulika katika zoezi linaloendelea sasahivi la kuandikisha watanzania kwaajili ya kupata vitambulisho vya uraia.
Chanzo:itv habari.