waziri2020
Senior Member
- May 31, 2019
- 190
- 451
Baadhi ya walimu katika shule ya Sekondari Kitumbeine, wilayani Longido, akiwemo Makamu wa shule hiyo Renatus Mwijage, wamekithiri kwa ulevi na vitendo vya ngono kwa wanafunzi.
Madai ya tuhuma hizo yametolewa na baadhi ya wananchi wilayani humo baada ya kulio chao kutosikilizwa , wakimlalamikia kaimu afisa elimu sekondari wilayani hapo,Gilbert Sombe kwa kufumbia macho matukio na mwenendo walimu hao ambayo yanatishia kudhorotesha maendeleo ya shule hiyo.
Taarifa zaidi zimedai kwamba makamu wa shule hiyo, Renatus Mwijage, amekuwa akifanya jitihada za kusaka nafasi ya ukuu wa shule baada ya kufanikiwa kumrubuni kwa fedha kaimu afisa elimu huyo ambaye alimemwahidi kumpatia nafasi hiyo katika moja ya shule wilayani hapo.
"Afisa elimu anatuhumiwa kula fedha za baadhi ya walimu akiwemo Renatus ambaye anadaiwa kutoa sh,milioni 5 ili kupatiwa ukuu wa shule"
Pia mwalimu Petro Mosses ambaye alihamishiwa katika shule ya sekondari Kitumbeine kutoka shule ya sekondari Longido akituhumiwa kufanya ngono na baadhi ya wanafunzi wake na wengine kuwapachika mimba.
Wazazi wanadai kuwa idara ya elimu imeshindwa kuwachukulia hatua walimu hao kwa sababu kaimu afisa elimu anawakumbatia kwa sababu amekuwa akichukua fedha na kuwaacha wafanye uchafu wao bila kukamewa.
Mwalimu mwingine chapombe ni ,Vickta Bayo ambaye anatajwa ndio kinara wa ulevi ambapo amekuwa akilewa muda wote wa kazi na wakati mwingine anajikojilea barabarani na kushindwa kufundisha darasani jambo ambalo kaimu afisa elimu analalamikiwa kwa kishindwa kuchukua hatua kiasi cha baadhi ya wazazi kuhoji ukaribu wa walimu hao na kaimu afisa elimu huyo.
Mwalimu Petro anatuhumiwa kutengeneza akaunti feki inayochafua viongozi mitandaoni na ana line feki inayotumika kuwatumia ujumbe baadhi ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia ,wazee na watoto , akidai shule hiyo kuna ukatili wa kutisha kwa wanafunzi unafanyika na pia kuwachongea viongozi wilayani hapo wakiwemo wakuu wa shule.
Wamemwomba rais Samia Suluhu kupitia wizara ya elimu kutuma timu ya uchunguzi juu ya mwenendo wa walimu hao pamoja na kaimu afisa elimu.
Madai ya tuhuma hizo yametolewa na baadhi ya wananchi wilayani humo baada ya kulio chao kutosikilizwa , wakimlalamikia kaimu afisa elimu sekondari wilayani hapo,Gilbert Sombe kwa kufumbia macho matukio na mwenendo walimu hao ambayo yanatishia kudhorotesha maendeleo ya shule hiyo.
Taarifa zaidi zimedai kwamba makamu wa shule hiyo, Renatus Mwijage, amekuwa akifanya jitihada za kusaka nafasi ya ukuu wa shule baada ya kufanikiwa kumrubuni kwa fedha kaimu afisa elimu huyo ambaye alimemwahidi kumpatia nafasi hiyo katika moja ya shule wilayani hapo.
"Afisa elimu anatuhumiwa kula fedha za baadhi ya walimu akiwemo Renatus ambaye anadaiwa kutoa sh,milioni 5 ili kupatiwa ukuu wa shule"
Pia mwalimu Petro Mosses ambaye alihamishiwa katika shule ya sekondari Kitumbeine kutoka shule ya sekondari Longido akituhumiwa kufanya ngono na baadhi ya wanafunzi wake na wengine kuwapachika mimba.
Wazazi wanadai kuwa idara ya elimu imeshindwa kuwachukulia hatua walimu hao kwa sababu kaimu afisa elimu anawakumbatia kwa sababu amekuwa akichukua fedha na kuwaacha wafanye uchafu wao bila kukamewa.
Mwalimu mwingine chapombe ni ,Vickta Bayo ambaye anatajwa ndio kinara wa ulevi ambapo amekuwa akilewa muda wote wa kazi na wakati mwingine anajikojilea barabarani na kushindwa kufundisha darasani jambo ambalo kaimu afisa elimu analalamikiwa kwa kishindwa kuchukua hatua kiasi cha baadhi ya wazazi kuhoji ukaribu wa walimu hao na kaimu afisa elimu huyo.
Mwalimu Petro anatuhumiwa kutengeneza akaunti feki inayochafua viongozi mitandaoni na ana line feki inayotumika kuwatumia ujumbe baadhi ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia ,wazee na watoto , akidai shule hiyo kuna ukatili wa kutisha kwa wanafunzi unafanyika na pia kuwachongea viongozi wilayani hapo wakiwemo wakuu wa shule.
Wamemwomba rais Samia Suluhu kupitia wizara ya elimu kutuma timu ya uchunguzi juu ya mwenendo wa walimu hao pamoja na kaimu afisa elimu.