Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,529
- 41,046
Wajinga wengi. Sioni mahali alipoongelea habari za uwaziri!Uraisi wa wapi? Angetulia angeweza kuwa waziri siku nyingi.Lakini alishapoteza mwelekeo siku nyingi.Ajiliwaze tu Na huo uraisi wa TLS ambao hata hivyo haumjengi politically zaidi ya kumbomoa Na Wala haumsaidii kupata wateja wazito kwenye Kazi za kiwakili