hii nimeikuta kwa michuzi nikawa nnajiuliza hapa anawaaasa kuhusu kuanza kwa kampeni kuwa waanze za kistaarabu, au anawaambia jamani msikubali nchi yenu kurudi tena kwenye mifarakano au nn ?
mi nazani anawambia msikubali, WaTaNGANYIKA kuitawala NCHI YETU YA ZANZIBAR kwa kisingizio cha Muungano, kama noma na iwe noma mpaka kieleweke :becky: layball:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.