Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,799
- 2,074
Nilikuwa na mwanamke wangu baada ya kugundua anachepuka tu nikamtema na kukataa mawasiliano yote na yeye, marafiki zake, na familia yake.Baada ya miez miwili , kantafuta jana magetoni analia anaomba turudiane nikamtazama sikusema chochote nkamtoa nje nkamwacha analia nkasepa zangu
mnanishaurije wadau nimsamehe au nimuulie ngum?.
mnanishaurije wadau nimsamehe au nimuulie ngum?.