Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,983
- 46,765
Huwa naona shughuli zote za misibia mikubwa zinafanyiwa ukumbi wa Karimjee.
Huu ni ukumbi maalumu kwa ajili ya misiba ya aina hii au hakuna ukumbi mwingine mzuri wa kuuzidi kwa shughuli kama hizi hapa jijini Dar es Salaam?
Unamilikiwa na nani huu ukumbi?
Historia yake ikoje?
Huu ni ukumbi maalumu kwa ajili ya misiba ya aina hii au hakuna ukumbi mwingine mzuri wa kuuzidi kwa shughuli kama hizi hapa jijini Dar es Salaam?
Unamilikiwa na nani huu ukumbi?
Historia yake ikoje?